Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Baada ya Kifo cha Mwandishi Daudi Mwangosi wa Iringa, Yaliibuka Mambo Mengi, Likiwemo la Baadhi ya waandishi wahabari kutafutwa na Jeshi la Polisi wauliwe.
Mmoja ya wanahabari waliokua katika Red list ya Polisi ni Bw. Francis Godwin, Mwandishi wa kujitegemea kule Iringa
sasa hivi anaishi mafichoni kama inavyoonekana katika piach hizo hapo chini zinavyoonekana kwenye Blog yake.
[h=3]SIKU ZINAKWENDA WADAU LEO NIMEPATA KUTOKA NJE YA HOTELI [/h]
[h=3]HABARI ZA JUMAPILI WADAU WA BLOG HII [/h]
Napenda kuwajulisha wadau wote wa mtandao huu wa Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima kuwa mimi na familia yangu huku ugenini tunaendelea vema zaidi tunazidi kuiombea nchi yetu Tanzania na kumwomba Mungu awape hekima viongozi na askari wa jeshi la polisi yale ya Daudi Mwangosi yasije tokea tena
Mmoja ya wanahabari waliokua katika Red list ya Polisi ni Bw. Francis Godwin, Mwandishi wa kujitegemea kule Iringa
sasa hivi anaishi mafichoni kama inavyoonekana katika piach hizo hapo chini zinavyoonekana kwenye Blog yake.
[h=3]SIKU ZINAKWENDA WADAU LEO NIMEPATA KUTOKA NJE YA HOTELI [/h]
[h=3]HABARI ZA JUMAPILI WADAU WA BLOG HII [/h]
Napenda kuwajulisha wadau wote wa mtandao huu wa Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima kuwa mimi na familia yangu huku ugenini tunaendelea vema zaidi tunazidi kuiombea nchi yetu Tanzania na kumwomba Mungu awape hekima viongozi na askari wa jeshi la polisi yale ya Daudi Mwangosi yasije tokea tena