Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Sean hoare aliyetoa siri ya kashfa inayoikabili kampuni ya News of the Word ya udukuzi simu amekutwa amekufa nyumbani kwake watford,hertfordshire huko uingereza.Bwana sean hore aliyekuwa mwandishi wa zamani wa kampuni ya news of the world,ndiye aliyemtuhumu bwana Andy coulson kuandaa mkakati huo wa udukuzi wa simu.Chanzo cha kifo chake mpaka sasa hakijulikani.