miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
Mbona mnamshambulia huyu bidada kisa kaweka mambo yake hapa, maana hii ya kuchanganyana ndio fashion siku hizi, si wanawake si wanaume, isingekuwa mnawachanganya kila siku wanawake wangekuwa wanalia mapenzi yanawates, mnawachanganya ndo maana kila siku wanalia, sasa ngoja na nyie wanaume mchanganye ili muone raha yake.