Wanawake binadamu ukiwemo wewe.Leo babu nakupinga wanawake gani unaowasemea wewe?
Pamoja na ukweli kwamba mwisho wa siku its you who should decide nani unakuwa naye lakini kuna wakati unatakiwa utumie kichwa zaidi ya moyo. Nakubaliana na wewe kwamba kama mapenzi yamekwisha kwa mtu then yamekwisha ila wakati unaendelea na mchezo wa mapenzi kwisha ufikirie pia how many times and how many men ambao utakutana nao na mwisho wa siku mapenzi yataisha?Mwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje
Wanawake binadamu ukiwemo wewe.
Naomba kuuliza. Samahani lakini. Wakati u(m)nakua mama yako alikuwa na wanaume wangapi? Naomba nijibu nitakushauri vzuri manake tabia hizi nyingine watu mnarithi toka kwa wazazi wenu.
Napenda shopping Hana pesaPamoja na ukweli kwamba mwisho wa siku its you who should decide nani unakuwa naye lakini kuna wakati unatakiwa utumie kichwa zaidi ya moyo. Nakubaliana na wewe kwamba kama mapenzi yamekwisha kwa mtu then yamekwisha ila wakati unaendelea na mchezo wa mapenzi kwisha ufikirie pia how many times and how many men ambao utakutana nao na mwisho wa siku mapenzi yataisha?
Na je huyo unayeenda kwake sasa anakupenda the way unavyompenda wewe? Je haitafikia kipindi naye akapata mwingine kama wewe ulivyopata mwingine na akakuacha kama wewe unavyomuacha huyo mwingine? Just think tu then mwisho wa siku choose where you think is right coz bahati mbaya sana mapenzi hayana sana ushauri ila mahusiano ndio yanaweza kushauriwa
Mwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje
Huyo mme wako hana akili hata kidogo, kwani anakuona wewe tu ndo mwanamke?
Dah this looks like "Mkono mtupu haulambwi" for me this is purely business so what are you giving in return? Kama mtu anakupa hizo pesa za kufanyia shopping?Napenda shopping Hana pesa
Mzazi wangu I wish ungumjua ni alikuwa katibu mkuu wa Wizara nyeti na sass ni siwezi kumaliza.
Napenda shopping Hana pesa
Well Said Kaka Asprin na mzabzab, sasa akina Lily Flower sweetlady, Emma ITEGAMATWI, , BelindaJacob , Kongosho mwaJ , Preta MadameX Gerrard MESTOD BADILI TABIA, Asulo Bajabiri, Tram Almasi Na wengine weeengi
Bila kusahau wale wooote walionoshambuliwa kwenye https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/313156-dada-zetu-na-lift.html, Waje na hapa
Mwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje