Tabia ya Mtu Tuu Jamani mimi nishaona rafiki yangu yuko na mchumba wa mtu ndani ya L/Mark twanga jamaa liko safari , na baada ya Harusi akaendelea kula mzigo mpaka demu akaomba wazae mtoto wa kumbukumbu na jamaa sio aliomvunja Bikira sasa sijui alivunja bado alikuwa anapewa nafikiri ti tabia TUU !!