asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,028
Wala sio maumivu wala nini i just hate him....
miaka kibao imepita sijawahi kumuona majuzi kati akanikuta nimekaa mahali
baada ya salamu akaniuliza swali lililonipa kichefuchefu "huko unapokaa hakuna anaeniibia" nilitamani nimpige kwenzi.
huna lolote...........