Na mimi nataka kugegedwa na wew. Vipi nilipie wapi au utanifanyia bure?Kulikuwa na uzi uliletwa humu jamaa akisema eti 2016 hatahangaika kumridhisha mwanamke, kama mwanamke anataka kuridhishwa alipie.
Siyo hela atoe mwanaume halafu mwanamke ndo atafute kuridhishwa, na kwa huyo dada kwa sababu yeye ndo anataka kuflirtishwa inabidi alipie, maana yeye ndo mhanga.