briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,109
Kuna kaukweli hapaMajina ya kina Monica hawa utulivu F.
Kuna kaukweli hapaMajina ya kina Monica hawa utulivu F.
Hee! Sasa mbona hasira tena?Yaani mi naomba hii Jf upandee huu Wa hili jukwaa uitwee low thinkers...ivi ninyi mijituu yeye kwashakoo ya kwapani kwa nini mnapenda kuharibu nyuzi za wenzenuuuu..huyoo Dada kakoseaa wapii.umeona huna vigezo unapita hivi...kwa nini enyi Malofaa Wa Mkapa.....nyaaau type......eti uzee Mara mi zipo tayari mara mtaani umekosaa Mara unajiuzaa sasa nyiee mbuziii mmefunguaa huu uzii ili iwejeee majukwaa ya Mapishii hamkuyaonaaa webSmart 911,Na Nyani Ngabu Na wenziooooo...mnijibu muonee Na wotee nawajua mnapoishi msidhani mgeni humu ndaniii......punguaniii kasorooo mikiaaaa
sijakuja kuomba ushauri hapa, ukitaka kushauri nenda kwenye huo uzi.Baada ya mumeo kukunyima unyumba kama ulivyo sema hapa Mume wangu ananinyima unyumba
Ndo umeamua kutafuta mwanaume wa ku flirt nae? Kwenye uzi huo sikuona mtu aliyekushauri hivyo.
Baada ya mumeo kukunyima unyumba kama ulivyo sema hapa Mume wangu ananinyima unyumba
Ndo umeamua kutafuta mwanaume wa ku flirt nae? Kwenye uzi huo sikuona mtu aliyekushauri hivyo.
Za saa hizi nduguYaani mi naomba hii Jf upandee huu Wa hili jukwaa uitwee low thinkers...ivi ninyi mijituu yeye kwashakoo ya kwapani kwa nini mnapenda kuharibu nyuzi za wenzenuuuu..huyoo Dada kakoseaa wapii.umeona huna vigezo unapita hivi...kwa nini enyi Malofaa Wa Mkapa.....nyaaau type......eti uzee Mara mi zipo tayari mara mtaani umekosaa Mara unajiuzaa sasa nyiee mbuziii mmefunguaa huu uzii ili iwejeee majukwaa ya Mapishii hamkuyaonaaa webSmart 911,Na Nyani Ngabu Na wenziooooo...mnijibu muonee Na wotee nawajua mnapoishi msidhani mgeni humu ndaniii......punguaniii kasorooo mikiaaaa
Sa mi nipoteze muda wangu bure mkuu, lazima nipate charting allowanceEti kuchat hapa na pale ili iweje?mgegedo lazima
Hello naitwa amana 30yrs...interested to be your friend!!! In Dar..you?Habari zenu?
Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.
Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.
Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.
Hahah asante mkuuHiyo 30 ni ya kwenye post tu, ya kwenye prof ni 46 usikute ana miaka 50 au zaidi
Habari zenu?
Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.
Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.
Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.
Habari zenu?
Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.
Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.
Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.