Ritakahama
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 758
- 408
Nimekuwa nikiangalia jinsi wnaume wa sasa hivi wanavyowaachia wake zao majukumu yote nauliza nyie wanaume mnaopenda kulelewa na wake na wapenzi wenu nyie ni vichwa au miguu?
Nimekuwa nikiangalia jinsi wnaume wa sasa hivi wanavyowaachia wake zao majukumu yote nauliza nyie wanaume mnaopenda kulelewa na wake na wapenzi wenu nyie ni vichwa au miguu?
Nimekuwa nikiangalia jinsi wnaume wa sasa hivi wanavyowaachia wake zao majukumu yote nauliza nyie wanaume mnaopenda kulelewa na wake na wapenzi wenu nyie ni vichwa au miguu?
Nimekuwa nikiangalia jinsi wnaume wa sasa hivi wanavyowaachia wake zao majukumu yote nauliza nyie wanaume mnaopenda kulelewa na wake na wapenzi wenu nyie ni vichwa au miguu?
Tatizo ni nyie wanawake mmekiuka majukumu yenu kama vile
1.Badala ya kuzaa kwa uchungu siku hizi mnaomba operesheni
2.Badala ya kukaa nyumbani kulea familia mnakimbizana na miajira migumu badala ya kuwaachia waume zenu wawatafutie mkate wa kila siku
3.Mnataka haki sawa kwahiyo lazima wawaachie majukumu
kwani kule China walidai 50/50 kwenye makaratasi tu au na kwa vitendo? Mnalalamika wakati ndiyo kwanza mnaolea wanaume ni 5% wakati wanaume tunaowalea wanawake ni 95%. Je uwiano ukiwa sawa si ndiyo mtatuburuza mpaka basi, Mungu pishilia mbali.
mikia ya samaki
We unaonaje? Hizo haki zenu mnazodai hamkufikiria hilo kama mshindo nyuma wa madai yenu.
Sio unahisi bali ni miguu ambayo hao wanawake watafutaji wanaitumia kukanyagia uchafu woteMi nahisi watakuwa ni miguu hao.
Mpaka ninapoandika hapa nimekaa ofisi moja yenye zaidi ya watumishi mia tatu kwa miaka 5 ukweli ni dada mja tu amewahi kuniambia at least mume wake alimnunulia gari lakini matumizi yote nyumbani anatoa wengine wote wakikuhadithia unaetemeka sasa wewe hiyo 95% unayosema ni ipi
kama anafanya kazi ni lazima kuchangia gharama za matumizi nyumbani, kwa mawazo yako unataka fedha ya mshahara wake isitumike nyumbani kwake? chunguza hapo kazini kwako ni wanaume wangapi wanalelewa na wake zao na wangapi wanalea wake zao. Mwanaume humtegemea mwanamke pale tu anapokuwa hana kipato, lkn akiwa na kipato kamwe hawezi kumtegemea mwanamke. Kiasili mwanaume akimtegemea mwanamke hupungukiwa ujasiri kiasi fulani kitu ambacho wanaume wote hatupendi.
Umesoma mahali nimeandika mshara usitume?hii mada haihusu kabisa kusaidiana inahusu kuachia mke majukumu yote
umenichekesha, mke akiachiwa mujukumu yote ataweza? Kwa jinsi ninavyowafahamu wanawake, ikifikia hatua ya mke kuachiwa majukumu ya nyumbani kwa 100%, hapo piga ua lazima adai kuachika. Pia inaonekana umo kwenye mahusiano ya namna hii, umeleta uzi huu kupunguza stress au kujifariji, kama koti linakubana dada yangu, livue, litakuua.