Jamani umeolewa na mwanaumwe hataki kazi.
Asubuhi adi jioni anashinda home na housegal na mtoto wake.
Hatoki ajishungulishi yeye akiamuka anakaa kwenye kochi akichoka anaeingia kulala ndani.
Ni kula kulala kudhurula mtaani na kusema uongo mbele za watu yeye ana pesa yeye alienda ulaya na masifa ya kijinga.
Huku mkewee ndo kila kitu nyumbani kuanzia kulipa hs gal gardener kulipia bill za maziwa watoto
i mean kila kitu ni mwanamke.mafuta ya gari yani kila kituuuuuu namaanisha mwaswala yote ili maisha yaaendee na watu waendee chooni kutoa shukurani zao.
Siku akitoka mwanaume huyuu akitoka ataenda kudhurula kwenye ofc za washikaji zake akirudi ni usiku kalewa chakariiiiii.
Na matusi anatukana kama katumwa na Matusi mie nina nyumbaa nikichoka nauza nyumba narudi kijijini.Mkewee akimuuliza unatoka wapi saa nane usiku huu atajibu alikuwa anatafuta kazi jamani jamani ni ugomvi kila kukicha.
sasa nyie wanaume mwenzie tusaidie jamani huyu mwanaume amesoma ana Bachelor degree.Inakuwaje asitafute kazi jamani ili amusaidie mkewe mzigo wa familia jamani.mama mwanamke nae anatakiwa ajirembe avae vizuri NK.maisha yanakuwa magumu ugomvi ndani auishi.
Tusaidie jamani akina baba wa leo ndo mwanaume watakiwa kuishi hivyo au huyuu mwenzenu anamatatizo gani.
Tujuzeni ili tujiandaee kwa maisha ya ndoa na sie akina nungayembee.
Asubuhi adi jioni anashinda home na housegal na mtoto wake.
Hatoki ajishungulishi yeye akiamuka anakaa kwenye kochi akichoka anaeingia kulala ndani.
Ni kula kulala kudhurula mtaani na kusema uongo mbele za watu yeye ana pesa yeye alienda ulaya na masifa ya kijinga.
Huku mkewee ndo kila kitu nyumbani kuanzia kulipa hs gal gardener kulipia bill za maziwa watoto
i mean kila kitu ni mwanamke.mafuta ya gari yani kila kituuuuuu namaanisha mwaswala yote ili maisha yaaendee na watu waendee chooni kutoa shukurani zao.
Siku akitoka mwanaume huyuu akitoka ataenda kudhurula kwenye ofc za washikaji zake akirudi ni usiku kalewa chakariiiiii.
Na matusi anatukana kama katumwa na Matusi mie nina nyumbaa nikichoka nauza nyumba narudi kijijini.Mkewee akimuuliza unatoka wapi saa nane usiku huu atajibu alikuwa anatafuta kazi jamani jamani ni ugomvi kila kukicha.
sasa nyie wanaume mwenzie tusaidie jamani huyu mwanaume amesoma ana Bachelor degree.Inakuwaje asitafute kazi jamani ili amusaidie mkewe mzigo wa familia jamani.mama mwanamke nae anatakiwa ajirembe avae vizuri NK.maisha yanakuwa magumu ugomvi ndani auishi.
Tusaidie jamani akina baba wa leo ndo mwanaume watakiwa kuishi hivyo au huyuu mwenzenu anamatatizo gani.
Tujuzeni ili tujiandaee kwa maisha ya ndoa na sie akina nungayembee.