Mwanaume wa aina tumwiteje

mbano

Member
Sep 9, 2011
46
21
Jamani umeolewa na mwanaumwe hataki kazi.
Asubuhi adi jioni anashinda home na housegal na mtoto wake.
Hatoki ajishungulishi yeye akiamuka anakaa kwenye kochi akichoka anaeingia kulala ndani.
Ni kula kulala kudhurula mtaani na kusema uongo mbele za watu yeye ana pesa yeye alienda ulaya na masifa ya kijinga.

Huku mkewee ndo kila kitu nyumbani kuanzia kulipa hs gal gardener kulipia bill za maziwa watoto
i mean kila kitu ni mwanamke.mafuta ya gari yani kila kituuuuuu namaanisha mwaswala yote ili maisha yaaendee na watu waendee chooni kutoa shukurani zao.

Siku akitoka mwanaume huyuu akitoka ataenda kudhurula kwenye ofc za washikaji zake akirudi ni usiku kalewa chakariiiiii.
Na matusi anatukana kama katumwa na Matusi mie nina nyumbaa nikichoka nauza nyumba narudi kijijini.Mkewee akimuuliza unatoka wapi saa nane usiku huu atajibu alikuwa anatafuta kazi jamani jamani ni ugomvi kila kukicha.

sasa nyie wanaume mwenzie tusaidie jamani huyu mwanaume amesoma ana Bachelor degree.Inakuwaje asitafute kazi jamani ili amusaidie mkewe mzigo wa familia jamani.mama mwanamke nae anatakiwa ajirembe avae vizuri NK.maisha yanakuwa magumu ugomvi ndani auishi.
Tusaidie jamani akina baba wa leo ndo mwanaume watakiwa kuishi hivyo au huyuu mwenzenu anamatatizo gani.
Tujuzeni ili tujiandaee kwa maisha ya ndoa na sie akina nungayembee.
 
Jamani umeolewa na mwanaumwe hataki kazi.
Asubuhi adi jioni anashinda home na housegal na mtoto wake..

Dada mwanaume umdekezavyo ndivyo azekeavyo.
Unaonyesha umemdekeza sana sasa amekukifu ndo unalalamika.
 
Wakati wanaoana alikuwa na kazi akapata lidandansi? au ameacha kazi baada kuona wife ana vijisenti kidogo?
 
Kama sio mume wako wewe unajuaje hafanyi hivyo kutokana na makubaliano yao? Kama mke wake mwenyewe anamuendekeza jamaa we unataka abadilike alafu? Wakati mwingine unatakiwa ukiona kitu cha ajabu kwenye nyumba za watu ushangae tu kisha uendelee na mambo yako. Huwezi jua huyo mwanamke anafaidika vipi na hiyo hali, inawezekana ndio njia pekee ya yeye kumfanya huyo mwanaume akae nae na HATAKI kumpoteza.
 
Wakati wanaoana alikuwa na kazi akapata lidandansi? au ameacha kazi baada kuona wife ana vijisenti kidogo?




Alikuwa na kazi ya mkataba.Mkataba wakati umebakiza miezi mitatu mkewe alimwambia tafuta kazi mapemaa ili usije kupata taabu.wapi hivyo toka amemuoa walikaa miezi 3 tu akiwa na kazi toka hapo adi leo hii ni miaka 2 sasa.
 
Kama sio mume wako wewe unajuaje hafanyi hivyo kutokana na makubaliano yao? Kama mke wake mwenyewe anamuendekeza jamaa we unataka abadilike alafu? Wakati mwingine unatakiwa ukiona kitu cha ajabu kwenye nyumba za watu ushangae tu kisha uendelee na mambo yako. Huwezi jua huyo mwanamke anafaidika vipi na hiyo hali, inawezekana ndio njia pekee ya yeye kumfanya huyo mwanaume akae nae na HATAKI kumpoteza.

Ni mme wake mara ya kwanza alikuwa anamfuga hataki amege wanawake wengine sasa kamchoka kamgeuka wanawake si ndo zenu tunazijua sana hizi mbinu zenu.
 
Alikuwa na kazi ya mkataba.Mkataba wakati umebakiza miezi mitatu mkewe alimwambia tafuta kazi mapemaa ili usije kupata taabu.wapi hivyo toka amemuoa walikaa miezi 3 tu akiwa na kazi toka hapo adi leo hii ni miaka 2 sasa.

Huyo ni mmeo au umetumwa uwakilishe?
 
Ni mme wake mara ya kwanza alikuwa anamfuga hataki amege wanawake wengine sasa kamchoka kamgeuka wanawake si ndo zenu tunazijua sana hizi mbinu zenu.

'Zetu' mimi na nani?Embu acha uzushi we Fidel. .

Huyo aliyemwendekeza mume miaka miwili baadae ndio aone anachofanya sio 'uanaume' ana lake jambo.
 
Alikuwa na kazi ya mkataba.Mkataba wakati umebakiza miezi mitatu mkewe alimwambia tafuta kazi mapemaa ili usije kupata taabu.wapi hivyo toka amemuoa walikaa miezi 3 tu akiwa na kazi toka hapo adi leo hii ni miaka 2 sasa.

Mbano,

Huyo dogo ana umri gani? Pengine bado bwa mdogo sana kiakili amepewa jiko mapema.
 
'Zetu' mimi na nani?Embu acha uzushi we Fidel. .

Huyo aliyemwendekeza mume miaka miwili baadae ndio aone anachofanya sio 'uanaume' ana lake jambo.

Zenu wanawake, huyu alikuwa anajifugia mwanaume ndani kuna wengine mnafuga viserengeti boy kuna wengine mnafuga vibabu kikichuja tu ndo mambo hadharani kama hivi.
 
Zenu wanawake, huyu alikuwa anajifugia mwanaume ndani kuna wengine mnafuga viserengeti boy kuna wengine mnafuga vibabu kikichuja tu ndo mambo hadharani kama hivi.

Kama ambavyo ndio zenu wanaume kulelewa?

Acha kuweka watu kwenye makundi yasiyowatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom