Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hivyo huamini kuwa kuwa watu ambao ni waaminifu?
Naamini wapo lakini siamini kama ninavyoiamini biblia...watu huenda wakakengeuka.
Hivyo huamini kuwa kuwa watu ambao ni waaminifu?
Wewe hupendi challenge?
sifa ninazo tena zaidi ya hizo,ahahahahha nahisi naanza kuwa Lara 1 sasa!
Yes ndi quality tunayuiangalia hapa, zingine tuassume ni constant! LOL
Kaka yako anazidi kuniassure kuwa l am the only one; sio kwamba sijiamini lkn; ila nilitaka kujua preference yake ili au nitulie au nimrushe roho ado ado! LOL
Usiache kumrusha roho mwenzi wako, ili moyo wake uwake tamaa kwako.
1 King'asti 2: 33b
Yes ndi quality tunayuiangalia hapa, zingine tuassume ni constant! LOL
Kaka yako anazidi kuniassure kuwa l am the only one; sio kwamba sijiamini lkn; ila nilitaka kujua preference yake ili au nitulie au nimrushe roho ado ado! LOL
hahahahahahaha
huo mstari hapo chini me hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kuwa na mpenzi ambaye unaamini kwa kiwango kikubwa kuwa ni wako, hana mtu mwingine; au
Kuwa na mtu ambaye anakuweka roho juu (sio sana lkn), na hujiamini 100%?
Majibu ya dhati tafadhali!
haitapungua, its just that I really get emotionally involved kwenye mahusiano. so if kuna mwingine naweza kuwa broken sana. i may make small/common mistakes since im only human but im around during trouble timesHa ha ha, lkn utamthamini au kwa vile una uhakika kuwa she is yours hata care itapungua!
...katoliki je, kitaeleweka?
ngoja nikufanyie interview nione lol
nyumba kubwa you got it wrong, maana yangu ni kuwa sifa za nje hazihusiki, meaning kama ni uhandsome hakuna anayemzidi mwenzake; tofauti say mmoja ametulia kiasi kwamba you are almost sure kuwa uko mwenyewe, ila wa pili anakuweka roho juu juu (kind of flirt) na hujiamini kama u are the only one!
Si kwamba ni reject au havutii, they both vutia!
Hapo umenichanganya.
Utakuwa na mume handsome afu u relax eti hakuna possibility kuwa kuna wanaomtamani?
Na majibu wanayotoa kina Boss umeyaelewaje? Mi hapo nimeona kila mtu ame assume number 1 anakosa vigezo fulani fulani vya mvuto ndio maana wanasema huyo wa ndani...number mbili kiburudisho.
Kama wote ni kama mapacha obvious kila mtu atachagua number 1. Lakini hii ni very abstract; haiwezekani uwe na mume kama ....(ningekupa mfano lakini fikiri mwenyewe) afu utegemee kuwa hakuna hata mdada mmoja anayemtamani. Na kama ni kweli lazima atakuwa na kasoro...otherwise it is your own wrong perception and assumptions; kwa maneno mengine ni kuwa unajipa moyo tu.
Kutamaniwa ni one thing....kuwa mgumu hata baada ya kutamaniwa ni another. Ndio maana nasema kama mimi nilimpenda kwa among other things mvuto...wengine wana makengeza kuwa hawamuoni? Ndio maana najua mume wangu amezungukwa na danger na inabidi nisibweteke kisa mimi ni wife na ku assume yeye ni group 1.
Huu ndo ujinga ambao huwa siutaki kabisa ktk maisha yangu, competition for a woman? Ana kitu gani kuliko wengine? If she doesnt respect I dont give a ****!