georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
Acha ubahili Saint Ivuga! mbona laki tatu ni pesa ndogo sana. Labda kama hujapata uliyempenda hasa. Mimi wangu aliniomba pesa ya bajaji, nikaona isiwe tabu nikampeleka show room kuchagua kitu BMW X5 , cha bei rahisi tu m 270.