Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Ni kweli BB..hili ni fumbo......literally meaning huna lolote uwezalo isipokuwa kuvaa suruali...yaani hujiwezi labda kifedha etc....kama wanaume wanavyofaa......
Lakini mbona hai-make sense yoyote? Eti mwanaume suruali...what the fcuk is that?
Kwa nini isiwe shati? chupi? kondomu?