Mwanaume nimpendezeshe mimi, mwingine aje anipore, thubutuuuuuuu!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,649
Maneno haya yalitamkwa na wadada wawili walokuwa wakienda 'General Hospital' toka nkuhungu kumpa pole shostito mwenzao aliyepata shinikizo la damu baada ya kuporwa mpenzi wake na mwanamke mwingine.

"Kwanza wala hakuwa na haja ya kupandisha presha. Ningekuwa mimi nisingekubali hapo akose yeye, au mimi. Ningemuondoa tu huyo mwanaume duniani tuone nani angefaidika. Yaani mimi nihangaike naye. tusote wote, tunakuja kupata maendeleo, mwanaume amependeza halafu yeye aje na m***du wake eti mpenzi wake, anajua nilivyohangaika naye huyo mwanaume hadi amependeza?"-Mwanamke wa kwanza alimaliza kusema.

Yule wa pili akadakia "Dawa hapo dawa ni kuwaondoa wote mapenzi yao wakafanyie mbinguni, sio hapa duniani". Akaenda mbele zaidi kwa kuhitmisha "mwanaume nimpendezeshe mimi halafu mwingine aje anipore, thubutuuuuuuuuu!-akamalizia mwanamke wa Pili.

Waliposhuka kituo cha hosptitali, jasho kwa mbali likawa linanitoka nadhani sababu tu ya kuwaza 'risks' ambazo wanaume huwa tunazikaribisha ktk maisha yetu ya mepenzi, mweeeeee! uanaume kazi!

My take: Jamani wanaume wenzangu, jifikirie mara mbili unapoamua kumsaliti mpenzio. Vifo vingine vya wanaume wenye 'nazo' huenda vinachngiwa na hii maneno jamani!

 
Haya mambo magumu jamani... Dah! It's complicated.... Kama kuishi pamoja na kujenga maisha ndio basis pekee yakutumia kupima vigezo vya uvumilivu ukiporwaa... then kuna tatizo kubwa na kuporwaa ni Inevitable... Atleast that is my IMO.
 
Haya mambo magumu jamani... Dah! It's complicated.... Kama kuishi pamoja na kujenga maisha ndio basis pekee yakutumia kupima vigezo vya uvumilivu ukiporwaa... then kuna tatizo kubwa na kuporwaa ni Inevitable... Atleast that is my IMO.

kuna wakati mtu anaona maisha yake hayana ukamilifu na furaha bila ya kuwa na huyo mwenza wake. Inapokuja kuporwa hapo ndu wengine wasiokuwa na kaba huwa wanaona kama na wao mwisho wao kuishi duniani au mwanzo wa maisha yasiyo na raha umefika. Ktk kupigania hiyo anayodhani ndiyo 'chanzo' pekee cha furaha yake maishani. hapo ndipo waswahili husema, vitani hata fimbo unaweza ukaitumia kupambana na adui yake mwenye SMG!
 
kuna wakati mtu anaona maisha yake hayana ukamilifu na furaha bila ya kuwa na huyo mwenza wake. Inapokuja kuporwa hapo ndu wengine wasiokuwa na kaba huwa wanaona kama na wao mwisho wao kuishi duniani au mwanzo wa maisha yasiyo na raha umefika. Ktk kupigania hiyo anayodhani ndiyo 'chanzo' pekee cha furaha yake maishani. hapo ndipo waswahili husema, vitani hata fimbo unaweza ukaitumia kupambana na adui yake mwenye SMG!


Ndyoko haya maelezo ndio yanayo tupelekea kwenye matukia kama Story hio ya Mtambuzi ya Asha.... Sad kwa kweli....
 
Ndyoko haya maelezo ndio yanayo tupelekea kwenye matukia kama Story hio ya Mtambuzi ya Asha.... Sad kwa kweli....

Ni kweli madam. Na wengi hufikia kufanya maamuzi ambayo baadae mtu ukiwaza inakuwa ngumu sana kujua ni nini hasa kilimjia mtu kichwani hadi anafikia uamuzi kama huu.
 
na wanawake wengine nao.....kisa cha kumlea mtu mzima na madevu yake ni nini?

Raha ya mwanamke ulelewe,
mwanamke utunzwe....

Sio unalea janaume lishashindwa na maisha ataishia kulimbuka na mwaka tu...... Na wewe utaishia kupata presha....
 
na wanawake wengine nao.....kisa cha kumlea mtu mzima na madevu yake ni nini?

Raha ya mwanamke ulelewe,
mwanamke utunzwe....

Sio unalea janaume lishashindwa na maisha ataishia kulimbuka na mwaka tu...... Na wewe utaishia kupata presha....

Hujaelewa mada ndugu. Issue sio kumlea au la, suala ni jinsi mlivyoishi pamoja na mwenza wako mkapanga mambo maisha yakawa poa, then ghafla mtu anaingilia na kuharibu mambo. Umeifikiria thread hii kwa level ya chini sana. Wanaoibiwa wapenzi ni pamoja na walio kwenye ndoa ndugu!
 
Haya yoye yanatokea kwa sababu pia sisi wanawake hatupendani hata kidogo.tungekuwa tunapendana tungesaidiana sana katika hili.Mtu anajua wewe unatoka na fulani na yeye anamtongoza mpaka ampate na huyo ni rafiki yako.Je kuna upendo hapo?
Thin line between love and ......
 
Kumbe ndiop maana huku Dar zile Dhakari Bandia zinauzwa kama njugu, nimeona leo humu JF, nadhani sababu kubw ani hii ya kutendwa. Duh! Wanaume sasa tujikague na kuabadili tabia, la sivyo wataolewa na hayo maroboti, na itakula kwetu.....LOL
 
Back
Top Bottom