kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Nadhani dada huyu ana kasoro ambazo hajaziweka hadharani zinazomzuia kupata right husband (I am sorry to say so). Ninavyojua serious Men & Women in relationship are so scarce to be found KWA HIYO huyu dada angekuwa MWAMINIFU angekuwa lulu (angepiganiwa na wanaume) na asingehitaji kujitangaza katika JF ili kupata MUME!
Mkuu slowly.. huoni Wanaume tubavyopimana ubavu?