Som Ting Wong
New Member
- Apr 8, 2012
- 2
- 1
Kama nakuona mrembo ukizithaminisha hizo CV ukiwa na calculator kuubwa................But seriously i wish u all the best, ila nakushauri hilo la mijihela usilipe uzito saaana. Just sayingDeejay umeniuliza swali zuri sana,umeuliza nitawachujaje?kwa vigezo
nitaomba Cv zao,mwenye kuwazidi wenzake kwa vigezo vyangu ndo
atakuwa amejishindia mke mzuri mwenye mapenzi ya kweli na hatajuta
so bado nafasi zipo,ila angalizo ni lazima awe mkristo na pesa za kutosha
kwani na mimi si wa mchezo mchezo!