Mwanaume mlevi hawezi kumfikisha mwanamke kileleni

Zanzi ni aina ya pombe flani ivi ukiiona inakuwa kama maziwa yani, na maranyingi wanaokunywa hui-mix na pombe nyengine mfano Amarulah, ila Sina uhakika sana cuz mimi sio mlevi
Doooh wee jamaa... Kumbe ni mnywaji ila si mlevi
 
Wewe acha kujitoa akili sisi wagongaji ni balaa angali idadi ya watoto tunao kua nao tunazaa kuanzia nane nakuendelea alafu ukimwi unapatikana sana bar kwasababu ukigonga kidogo mzee mzima anatafuta mnara mda wote
Kwahiyo kupata ukimwi nayo ni sifa?
 
Ubongo ndio kila kitu, sehemu tu ya ubongo hudhurika na mtu akazima ila kuna watu wanakufa huku wanajiona kabisa kwa kiroba ila mtu huyo hamjui mwanamke.
Sasa Tabu yote hiyo yanini mkuu?? Starehe unailipia alafu Mara uzime mara ufe ....
 
Sijawahi Kuitia pombe katika kinywa changu na haitotokea,
Umeongeaje apo sasa... Huwezi sema marubani wa ndege flani wazembe afu wakati wa maelezo unasema hujawah panda ndege, unakuwa umetumia benchmark gani kuhalalisha kauli yako?
 
Kweli aisee......'kukojolesha' sio kazi ya kitoto ati! Kama umelewa mipombe yako huiwezi asilani....utaishia kuchapiwa tu na kina STUNTER :D:D:D:D:D
 
Mleta mada, umefanya utafiti vizuri? Kuna mlevi na mnywaji. Mnywaji wa pombe huchukua muda mrefu kufika kileleni (na hii hutegemea pia aina ya pombe). Mfano mimi ni mnywaji mzuri wa KONYAGI ndogo kila siku (nina sababu zangu za msingi), nikifanya mapenzi hunichukua kati ya dk 30 hadi 40 kufika kileleni kwa kila mzunguko mmoja. Kuna kipindi hufiki kabisa kwa kuwa unampa wakati mgumu mwenzi wako (hufika kileleni hata mara 3 ikiwa wewe hata mara moja bado). I have practiced it several times.
 
Zanzi ni aina ya pombe flani ivi ukiiona inakuwa kama maziwa yani, na maranyingi wanaokunywa hui-mix na pombe nyengine mfano Amarulah, ila Sina uhakika sana cuz mimi sio mlevi
Asante mkuu,hata mi najua we siyo mlevi wa pombe.
Ila unaulevi wa vitu vingine kabisaa...
 
Huu ni utafiti au maoni yako tu kwasababu una wivu na husda na watu wanaotumia pombe?

Mtu pekee anayeweza kutoa ushuhuda katika. hili ni mwanamke sasa we imekuwaje umejua kama walevi hatuwezi kazi na unatoa ushahidi kabisa eti tukipiga kimoja haturudii tena..thubutuuu

Halafu unajichanganya haieleweki unaongelea demu (girlfriend) au mke
Hili ndio tatizo la kujifanya mjuaji na kimbelembele utahoji vitu ambavyo vitakutia aibu
 
SAYANSI INA SAPOTI HOJA

KILEVI KINAKINZA NGUVU ZA KIUME.

Men's sexual behaviors can be affected dramatically by alcohol. Both chronic and acute alcohol consumption have been shown in most studies to inhibit testosterone production in the testes. This is believed to be caused by the metabolism of alcohol reducing the NAD+/NADH ratio both in the liver and the testes; since the synthesis of testosterone requires NAD+, this tends to reduce testosterone production.

As testosterone is critical for libido and physical arousal, alcohol tends to have deleterious effects on male sexual performance. Studies have been conducted that indicate increasing levels of alcohol intoxication produce a significant degradation in male masturbatory effectiveness (MME). This degradation was measured by measuring blood alcohol concentration (BAC) and ejaculation latency. Alcohol intoxication can decrease sexual arousal, decrease pleasureability and intensity of orgasm, and increase difficulty in attaining orgasm.
WIKIPEDIA
 
SAYANSI INA SAPOTI HOJA

KILEVI KINAKINZA NGUVU ZA KIUME.

Men's sexual behaviors can be affected dramatically by alcohol. Both chronic and acute alcohol consumption have been shown in most studies to inhibit testosterone production in the testes. This is believed to be caused by the metabolism of alcohol reducing the NAD+/NADH ratio both in the liver and the testes; since the synthesis of testosterone requires NAD+, this tends to reduce testosterone production.

As testosterone is critical for libido and physical arousal, alcohol tends to have deleterious effects on male sexual performance. Studies have been conducted that indicate increasing levels of alcohol intoxication produce a significant degradation in male masturbatory effectiveness (MME). This degradation was measured by measuring blood alcohol concentration (BAC) and ejaculation latency. Alcohol intoxication can decrease sexual arousal, decrease pleasureability and intensity of orgasm, and increase difficulty in attaining orgasm.
WIKIPEDIA
IMOOOOO...!!!
 
Huu ni utafiti au maoni yako tu kwasababu una wivu na husda na watu wanaotumia pombe?

Mtu pekee anayeweza kutoa ushuhuda katika. hili ni mwanamke sasa we imekuwaje umejua kama walevi hatuwezi kazi na unatoa ushahidi kabisa eti tukipiga kimoja haturudii tena..thubutuuu

Halafu unajichanganya haieleweki unaongelea demu (girlfriend) au mke
Hili ndio tatizo la kujifanya mjuaji na kimbelembele utahoji vitu ambavyo vitakutia aibu
Walevi utawajua tu....
Na tutazidi kuona mengi kupitia huu uzi
 
SAYANSI INA SAPOTI HOJA

KILEVI KINAKINZA NGUVU ZA KIUME.

Men's sexual behaviors can be affected dramatically by alcohol. Both chronic and acute alcohol consumption have been shown in most studies to inhibit testosterone production in the testes. This is believed to be caused by the metabolism of alcohol reducing the NAD+/NADH ratio both in the liver and the testes; since the synthesis of testosterone requires NAD+, this tends to reduce testosterone production.

As testosterone is critical for libido and physical arousal, alcohol tends to have deleterious effects on male sexual performance. Studies have been conducted that indicate increasing levels of alcohol intoxication produce a significant degradation in male masturbatory effectiveness (MME). This degradation was measured by measuring blood alcohol concentration (BAC) and ejaculation latency. Alcohol intoxication can decrease sexual arousal, decrease pleasureability and intensity of orgasm, and increase difficulty in attaining orgasm.
WIKIPEDIA
chuma cha reli Na 4G LTE njooni na mkalimani wenu
 
Back
Top Bottom