mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
hebu tuondoleee upup wako hapa maana ushaanza kuwahs tu.....................
Inawezekana,
1. Binti anataka kutunza heshima yake hapo anapokaa
2. Ana mtu mwingine kwa hiyo dili itaharibika
3. Jamaa haiva kimaisha kwa hiyo anaonyeshwa kuwajibika...akue kimaisha
4. kuanza kulala jamaa anaweza kuhamia kabisa wakati hata ndoa hajagusia....
5. kuna future kwa uhusiano huo au ni piga piga tu.....
Mshikaji ndio anaelewa zaidi mwanzo, waliopo na walikopanga kwenda kimaisha.... kama plan haipo ni kazi hapo. kama ipo naifuatwi...then ajiulize kwa nini....
sasa kama mwanaume kipato chake ni zero unafikiri nani wa kugharamia hapo?
dah siku hizi ma MARIOO kibaaaaaaao
sasa kama mwanaume kipato chake ni zero unafikiri nani wa kugharamia hapo?
shosti nakukubali ulivyo mkweliHusninyo heshima ya mwanaume pesa ndugu yangu ndevu ni urembo ..
kha!!!!
Husninyo heshima ya mwanaume pesa ndugu yangu ndevu ni urembo ..
Usawa udumishwe kwani tatizo liko wapi? si mnasema wanawake wanaweza si ndio kuweza kwenyewe huko ama?!!
shosti nakukubali ulivyo mkweli
Hata kama inauma sema tu kuficha haisaidii
YAni upo sawa mno mno...mwanaume sio kuvaa suruali jamani!!!!
ni capital project na lazima ionyeshe cash flow kabla ya kukubalika....haahahhhaaa