Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Kuna jamaa yangu amenisimulia kisa kinachomuhusu yeye na demu wake,mshikaji yeye ana kaa kwao yaani bado yupo kwa wazazi ila demu wake anafanya kazi na amepanga chumba,tatizo ni kuwa mshikaji huwa anatabia ya kwenda kumtembelea demu geto kwake na wakati mwingine hulala huko geto kwa demu,mshikaji anasema demu wake hapendi tabia yeye kwenda na kulala kwake anataka wawe wanakutana sehemu nyingine zaidi ya geto la mshikaji.Mshikaji ana omba ushauri maana ameanza kuhisi kuwa demu hampendi.Naomba mumshauri huyu mwenzetu cha kufanya.