Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
bht, huyo si kuwadi tu, bali na mkaanga sumu
Akaajiriwe kwenye kiwanda cha mabomu maana hafai kuishi na bin adam.
Atakuwa anakuharibia makusudi. Kama ni mwanamme, mvalishe skin tait na koti
Akaajiriwe kwenye kiwanda cha mabomu maana hafai kuishi na bin adam.
Atakuwa anakuharibia makusudi. Kama ni mwanamme, mvalishe skin tait na koti
Ewaaaaaa hapa umenena....
Hivi Kongosho jaribu kupata hii taswira nyengine...lol
Wewe na Bossman mlivodondokeana, halafu kuwadi anakuja anaanza kukwambia aah usimshobokee bossman bana mbona kuna moskwito mnyonya damu bana yuko poa mi namfahamu kitambu na yeye anataka mchuchu...
wakati huohuo anafanya maongezi na Bossman na kukuponda ile mbaya na kumwambia Bossman ntakuunganisha na Mdada ninamfahamu vizuri....
Hivi huo ni ukuwadi au ni zaidi ya ukuwadi?
Last edited by a moderator: