Mwanaume kuwa na wanawake wapenzi zaidi ya mmoja...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,946
Waungwana;

Naomba maoni yenu. Kwa mtazamo wa Kiafrika (au niseme labda wa Kitanzania) wa jadi hoja ya mwanaume kuwa na mwanamke mpenzi mmoja tu ni ya zama hizi au toka kale? Nimekuwa nikiulizia sehemu mbalimbali, sijawahi kusikia kabila hata moja lililokuwa na utamaduni wa mwanaume kuwa "restricted" kwa mwanamke mmoja tu.

Kwa mantiki hii ni wazi kuwa kwa asili Watanzania ni "polygamists" -kama si kwa kufanya hadharani basi faragha i.e. "concept" ya nyumba ndogo. Mila ya kuwa na mke mmoja haipo na imekuwa "imposed" na kanisa - nasisitiza kanisa maana wasomaji wa Biblia watakuwa wamesoma habari ya mababa wa imani wengi tu waliokuwa na wake wengi tu. Ndio maana kuna hi dhana leo kwenye jamii kuwa wanaume wa sasa si waaminifu kwenye ndoa zao.

Which reminds me to ask...jamaa zangu wafugaji, kwenye zizi la ng'ombe/mbuzi "ideally" huwa kunapaswa kuwa na madume sawa na majike?
 
Waungwana;

Naomba maoni yenu. Kwa mtazamo wa Kiafrika (au niseme labda wa Kitanzania) wa jadi hoja ya mwanaume kuwa na mwanamke mpenzi mmoja tu ni ya zama hizi au toka kale? Nimekuwa nikiulizia sehemu mbalimbali, sijawahi kusikia kabila hata moja lililokuwa na utamaduni wa mwanaume kuwa "restricted" kwa mwanamke mmoja tu.

Wewe unaona kipi ni sawa?
 
Wewe unaona kipi ni sawa?

Swali gumu muungwana. ni sawa na kuniuliza nguo gani nzuri :becky:. Hoja yangu ni kupata maoni "on the basis" ya utamaduni wetu. Nashindwa kuona mantiki ya jamii kupima kosa/uzuri wa kitu kwa vigezo vilivyo tofauti na utamaduni wa jamii husika.
 
Mtoboasiri;

Huna haja ya kusumbua kichwa: Mwanaume wenye fikra sahihi hawezi ku-stick na Mwanamke mmoja! (sina ganda wala risasi). Wengi siku hizi wana-pretend kuwa waaminifu lakini katika uhalisi, wanaume asilimia kubwa lazima atoke nje once and a while.

:eyeroll2:
 
Kaka oa hata kumi, mila hazikatai ila dini ya kikristo ndo inazuia. Cha msingi service equitably!
 
Well spoken mila haikatazi ni dini ya kikristo inakataza. Uamuzi ni wako kutokana na imani yako
 
mmmh nahisi uelewa wangu mdogo, hebu tuje kwenye uhalisia mwanamme kuwa na wake wengi, anakuwa anawapenda wote au ndo tamaa za kula ladha tofauti
 
Waungwana;

Naomba maoni yenu. Kwa mtazamo wa Kiafrika (au niseme labda wa Kitanzania) wa jadi hoja ya mwanaume kuwa na mwanamke mpenzi mmoja tu ni ya zama hizi au toka kale? Nimekuwa nikiulizia sehemu mbalimbali, sijawahi kusikia kabila hata moja lililokuwa na utamaduni wa mwanaume kuwa "restricted" kwa mwanamke mmoja tu.

Kwa mantiki hii ni wazi kuwa kwa asili Watanzania ni "polygamists" -kama si kwa kufanya hadharani basi faragha i.e. "concept" ya nyumba ndogo. Mila ya kuwa na mke mmoja haipo na imekuwa "imposed" na kanisa - nasisitiza kanisa maana wasomaji wa Biblia watakuwa wamesoma habari ya mababa wa imani wengi tu waliokuwa na wake wengi tu. Ndio maana kuna hi dhana leo kwenye jamii kuwa wanaume wa sasa si waaminifu kwenye ndoa zao.

Which reminds me to ask...jamaa zangu wafugaji, kwenye zizi la ng'ombe/mbuzi "ideally" huwa kunapaswa kuwa na madume sawa na majike?


Rejea thread hii, "Hii ikifanikiwa kwa 100%, itakuwaje"? Naamini utapata tunakoelekea...!
 
Maumbile ya mwanaume ni complicated sana, na yako extenally located!
Mwanamke anapitia vipindi mbali mbali vya maisha kama ujauzito, uzazi, hedhi, ambapo mara nyingi ni ngumu sana kwa mwanaume kuvumilia vyote vipite akiwa anasubiri bila kupata ile maneno, ndiyo maana wengi huishia kuwa na wapenzi wa nje kama silaha ya msaada!.
Lakini yote haya ni kujiendekeza, yawezekana kabisa kuishi na mmoja!
 
Mtoboasiri;

Huna haja ya kusumbua kichwa: Mwanaume wenye fikra sahihi hawezi ku-stick na Mwanamke mmoja! (sina ganda wala risasi). Wengi siku hizi wana-pretend kuwa waaminifu lakini katika uhalisi, wanaume asilimia kubwa lazima atoke nje once and a while.

:eyeroll2:

Kumbe ndio hivyo Baba Enock duh sioni hata haja ya kuchangia hii Topic
 
Ukiwa na mmoja unaweza ukajikuta umekumbwa na fistula
waungwana;

naomba maoni yenu. Kwa mtazamo wa kiafrika (au niseme labda wa kitanzania) wa jadi hoja ya mwanaume kuwa na mwanamke mpenzi mmoja tu ni ya zama hizi au toka kale? Nimekuwa nikiulizia sehemu mbalimbali, sijawahi kusikia kabila hata moja lililokuwa na utamaduni wa mwanaume kuwa "restricted" kwa mwanamke mmoja tu.

Kwa mantiki hii ni wazi kuwa kwa asili watanzania ni "polygamists" -kama si kwa kufanya hadharani basi faragha i.e. "concept" ya nyumba ndogo. Mila ya kuwa na mke mmoja haipo na imekuwa "imposed" na kanisa - nasisitiza kanisa maana wasomaji wa biblia watakuwa wamesoma habari ya mababa wa imani wengi tu waliokuwa na wake wengi tu. Ndio maana kuna hi dhana leo kwenye jamii kuwa wanaume wa sasa si waaminifu kwenye ndoa zao.

Which reminds me to ask...jamaa zangu wafugaji, kwenye zizi la ng'ombe/mbuzi "ideally" huwa kunapaswa kuwa na madume sawa na majike?
 
mmmh nahisi uelewa wangu mdogo, hebu tuje kwenye uhalisia mwanamme kuwa na wake wengi, anakuwa anawapenda wote au ndo tamaa za kula ladha tofauti
Kwani nani kasema huruhusiwi kupenda zaidi ya mmoja??? kwanza kuoa si lazima uwe umempenda mtu...
 
Mtoboasiri;

Huna haja ya kusumbua kichwa: Mwanaume wenye fikra sahihi hawezi ku-stick na Mwanamke mmoja! (sina ganda wala risasi). Wengi siku hizi wana-pretend kuwa waaminifu lakini katika uhalisi, wanaume asilimia kubwa lazima atoke nje once and a while.

:eyeroll2:

asante kwa mchango wako safi na sawiaaa..mi mwenyewe ndo niko kwenye mkondo huoo huooooo...nagonga moja moja ,mbili mbili tatu chalii..nikirudi home kama sio mimi
 
Ama kweli Dunia imeisha, ni nyakati za mwisho sasa tunaishi....
watu mnahalalisha hata yasiyo halali..????
Inakuaje mkeo akiwa na wanaume wengine?? utajisikiaje we mwanamme??
 
Back
Top Bottom