jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
David ana umri miaka 29 sasa anategemea kufunga ndoa siku za karibuni na mpenzi wake,toka alipobalehe alikuwa akipiga punyeto kukidhi tamaa zake za mwili pale anapokosa mpenzi mpaka kufikia umri huo,pamoja na kuwa na mpenzi wake wa sasa pale alipokuwa akipata hamu alikuwa akipiga punyeto bado..sasa anahitaji kuacha na kusahahu kabisa ili aingie kwenye ndoa yake akiwa akijiamini na kama mwanaume sahahii unamsahaurije?