afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Kwahiyo umeamua kuniumbua hadharani ehee!!!!!
mmhh mimi na wewe chumbani kwanza...lol
halafu ndo baaaye tuyalete hapa..\yakitushinda..
Kwahiyo umeamua kuniumbua hadharani ehee!!!!!
mmhh mimi na wewe chumbani kwanza...lol
halafu ndo baaaye tuyalete hapa..\yakitushinda..
Wengine anakuita ukienda hana la kusema anakutizama huku michozi inamtoka
mmmhhh hayaBecause we only not need quantity time but also quality time . ..
ha ha ha ha ha ha!
Utafikiri amefiwa kumbe anaomba penzi.
mmmhhhh MR.president na Wameiba kura
Kabila lenu lina eleza kila kitu....
mmmmhhhh ndo maana
sishangai kwa kweli lol
what do u mean? Wameiba kura & me are of the same tribe? anyway how can u associate tribe with the post?
i don't get it, nadhani the topic inasema unaweza kukuta Mwanaume ni muongeaji mzuri but infront of a woman anakuwa mdogoooo
but i don't know how tribe comes up.........unrelated.:A S 112::A S 112::A S 112:
Hadi leo unakutana na mwanaume anaona AIBU anapokutana na DEMU au mwanamke
yaani mara anaangalia chini, kushika kichwa, mara ageuke nyuma.....aarrrrrrgghh
mm kama mwanaume kama nimemwoana mwanamke kapendeza au nataka kumtokea
mara moja namsogelea nipo sooooo smart kwa kila kitu, namwongelesha kwa BIGGEST
EVER confidence, namwabia kapendeza, ana manyonyo mazuri nimezimika kwake,
ana makalio ya kufa mtu naomba walau tuonane tuwe na contact tuonane siku
mwafaka, akikubali mtoe kwa soft drink hapo hapo, m drive back home, mweleze
alivyokugusa moyo, then utapata, sasa DUME zima eti anaona aibu whaaaaaat? utasikia
mechi uwanja wa Taifa tu, hutacheza ng'oooo
hawaaminiki mpenzi na ukishawajua hawakupi shida
Hadi leo unakutana na mwanaume anaona AIBU anapokutana na DEMU au mwanamke
yaani mara anaangalia chini, kushika kichwa, mara ageuke nyuma.....aarrrrrrgghh
m
hicho kitoto chako mi chaniacha hoi wallah...:A S-omg:
Nilham si unajuwa hashy kakimbia na michelle ? unaonaje ukilikubali ombi la rafiki yangu Klorokwini.hicho kitoto chako mi chaniacha hoi wallah...
Nilham si unajuwa hashy kakimbia na michelle ? unaonaje ukilikubali ombi la rafiki yangu Klorokwini.
Huwezi mpata Michelle kambana sana,sasa Klorokwini nimwambie nini ?kakimbia na nani???? ndio mana wallah siku hizi hata nikipm haikwendi .... na ye pia kastop....alaa kumbe... :shock:
Huwezi mpata Michelle kambana sana,sasa Klorokwini nimwambie nini ?
kama humtaki Klorokwini siwezi kukusaidia mimi napenda kinadada wa kichagga tu.haya ahsante.... nilikuwa siyajui hayo... na klorokwin atanipiga bun vilevile simtaki.... na hash pia sina time nae kama asivyonitaka mara moja mi simtaki mara elfu moja....lol...
kama humtaki Klorokwini siwezi kukusaidia mimi napenda kinadada wa kichagga tu.