Mwanaume Kumpenda Mwanamke Maana Yake Nini?

RaiaMbishi

JF-Expert Member
Jan 18, 2012
252
124
Nimekuwa najiuliza, wanaume tunaposema tunampenda msichana/mwanamke, tuna maana gani hasa? Nimebaini kwamba wanaume tuna maana nyingi sana juu ya hili. Kwa mfano, je ukiambiwa uchague kitu kimoja tu kati ya hivvo hapa chini, halafu mwanamke utakayemchagua utapelekwa nae kwenda kuishi katika kisiwa cha mbali na kukaa nae huko kwa miaka mitatu bila ya wewe kukutana na mwanamke mwingine katika kipindi chote hicho, utapendelea mwanamke huyo awe na sifa zipi kazi ya hizi? Kumbuka, ukichagua sifa moja kati ya hizi 20, ina maana kwamba, sifa nyingine 19 zilizobakia, mwanamke uliyemchagua hatokuwa nazo. Pia assumption ni kwamba wote mtapimwa ukimwi na kuwa swaaaafi kabisa.


  1. Mwili/umbile kama vile saizi ya mwili, urefu/ufupi, matiti na booty?
  2. Mvuto wa sura/sura ya kuvutia?
  3. Ngozi uipendayo wewe - mweupe/mweusi/maji ya kunde?
  4. Tabia Nzuri/heshima iliyotukuka?
  5. Manyago mazuri Kitandani na anayetoa huduma zote unazohitaji?
  6. Mwanamke mselamsela?
  7. Mwanamke mcheshi, mzungumzaji, mchekeshaji/kampani?
  8. Mwanamke mkimya na asiyekuwa mzungumzaji?
  9. Anayependa Kudeka?
  10. Asiyekuwa na tamaa/gharama?
  11. Anayejitegemea kiuchumi/mwenye ajira au biashara yake?
  12. Anayejua kutunza mwanaume kwa gharama zote?
  13. Anaetoka familia Bora/wenye mali kwao?
  14. Aliye na elimu nzuri/ana Akili/intelligent?
  15. Aliye wahi kuishi nje ya nchi kwa muda mrefu?
  16. Ambae ametokea kijijini na asiyejua maisha ya mjini?
  17. Mwanamke mwenye umri mkubwa sana zaidi yako/sugar mami?
  18. Mwanamke bikra?
  19. Mwanamke ambae ameshatumika sana na kaamua kutulia?
  20. Mwanamke jike dume/tom boy?

Kumbuka, unatakiwa kuchagua sifa moja tu, na ukichagua hiyo sifa, nyingine ina maana huyo mwanamke automatically hana sifa zilizosalia. Na utaishi nae kwenye kisiwa mkiwa wawili tu bila ya kukutana na wanawake wengine kwa miaka mitatu, na mtakuwa mnaletewa mahitaji yenu kwa helikopta pale tu mtakapokuwa mnahitaji kitu. Jitahidi kutoa maelezo kwanini umechagua sifa uliyoichagua.


Nia yangu ni kujaribu kubaini, je, kwa mwanaume walio wengi, ipi ni sifa muhimu zaidi? Mimi nimechagua sifa namba '14', najali zaidi mwanamke kichwa, akikosa mengine ntamzoea tu mapungufu yake, na mambo yatakuwa swaaaaafi.
 
Ngoja kwanza nikutakia Valentine njema kabla sijaja kwenye huu uzi!!

love.jpg
 
Nimekuwa najiuliza, wanaume tunaposema tunampenda msichana/mwanamke, tuna maana gani hasa? Nimebaini kwamba wanaume tuna maana nyingi sana juu ya hili. Kwa mfano, je ukiambiwa uchague kitu kimoja tu kati ya hivvo hapa chini, halafu mwanamke utakayemchagua utapelekwa nae kwenda kuishi katika kisiwa cha mbali na kukaa nae huko kwa miaka mitatu bila ya wewe kukutana na mwanamke mwingine katika kipindi chote hicho, utapendelea mwanamke huyo awe na sifa zipi kazi ya hizi? Kumbuka, ukichagua sifa moja kati ya hizi 20, ina maana kwamba, sifa nyingine 19 zilizobakia, mwanamke uliyemchagua hatokuwa nazo. Pia assumption ni kwamba wote mtapimwa ukimwi na kuwa swaaaafi kabisa.


  1. Mwili/umbile kama vile saizi ya mwili, urefu/ufupi, matiti na booty?
  2. Mvuto wa sura/sura ya kuvutia?
  3. Ngozi uipendayo wewe - mweupe/mweusi/maji ya kunde?
  4. Tabia Nzuri/heshima iliyotukuka?
  5. Manyago mazuri Kitandani na anayetoa huduma zote unazohitaji?
  6. Mwanamke mselamsela?
  7. Mwanamke mcheshi, mzungumzaji, mchekeshaji/kampani?
  8. Mwanamke mkimya na asiyekuwa mzungumzaji?
  9. Anayependa Kudeka?
  10. Asiyekuwa na tamaa/gharama?
  11. Anayejitegemea kiuchumi/mwenye ajira au biashara yake?
  12. Anayejua kutunza mwanaume kwa gharama zote?
  13. Anaetoka familia Bora/wenye mali kwao?
  14. Aliye na elimu nzuri/ana Akili/intelligent?
  15. Aliye wahi kuishi nje ya nchi kwa muda mrefu?
  16. Ambae ametokea kijijini na asiyejua maisha ya mjini?
  17. Mwanamke mwenye umri mkubwa sana zaidi yako/sugar mami?
  18. Mwanamke bikra?
  19. Mwanamke ambae ameshatumika sana na kaamua kutulia?
  20. Mwanamke jike dume/tom boy?

Kumbuka, unatakiwa kuchagua sifa moja tu, na ukichagua hiyo sifa, nyingine ina maana huyo mwanamke automatically hana sifa zilizosalia. Na utaishi nae kwenye kisiwa mkiwa wawili tu bila ya kukutana na wanawake wengine kwa miaka mitatu, na mtakuwa mnaletewa mahitaji yenu kwa helikopta pale tu mtakapokuwa mnahitaji kitu. Jitahidi kutoa maelezo kwanini umechagua sifa uliyoichagua.


Nia yangu ni kujaribu kubaini, je, kwa mwanaume walio wengi, ipi ni sifa muhimu zaidi? Mimi nimechagua sifa namba '14', najali zaidi mwanamke kichwa, akikosa mengine ntamzoea tu mapungufu yake, na mambo yatakuwa swaaaaafi.
Namba 4 heshima kwanza mengine Baadae
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom