dadam
Member
- Apr 20, 2011
- 56
- 9
Habari Za Jioni wana JF.
Naomba mawazo yenu ktk hili. Hivi, katika mahusiano mwanaume kumpa mwanamke hela ina maana gani???? hasa wanaume naomba mnisaidie. Je ukiwa kama mwanaume, una girlfriend ambaye kipato chake na chako vinafanana utampa hela at any point???
kama ndio kwanini
kama hapana kwanini
vipi kama umemzidi kidogo kipato???
vipi kama yeye amekuzid????
Asante kwa comment
Naomba mawazo yenu ktk hili. Hivi, katika mahusiano mwanaume kumpa mwanamke hela ina maana gani???? hasa wanaume naomba mnisaidie. Je ukiwa kama mwanaume, una girlfriend ambaye kipato chake na chako vinafanana utampa hela at any point???
kama ndio kwanini
kama hapana kwanini
vipi kama umemzidi kidogo kipato???
vipi kama yeye amekuzid????
Asante kwa comment