Nashindwa kuamini, hivi kweli mdada wa leo ahongwe gari achomoe!
Ngoja niwaachie wenyewe, lakini mimi naona ni ngumu kumeza.....................................
ndugu yangu ningetaka kutembea naye ningefanya hivyo ila ya nini? hivi mtu ni divorcee two times miye nakwenda hapo kutafuta nini? sawa umasini wangu napaki nao na mpenzi wangu, kwani hata hivyo tumeridhika na tuna amani sana kuliko kwenda kuingia kwenye maisha yenye manyanyaso na tabu kisa hela
yangu nafanyia mars! Dunia ina wanga bi dada! Hama sayari kama vipi??
kaka yangu sijui niseme si kwamba nina shida sana na gari ishu je nikubali kupokea gari halafu hatma yake ni nini? je huyu ambaye ni wa moyoni mwangu namfanyaje? kama je sijamjaza moyoni nimkubali tu kisa gari? nasema kweli jamani tena kanikera sana kwa vitisho anavyovitoa kwa mpenzi wangu.
hivi hapo hajanioa siku ukiingia ndani na jitu kama hili si ndo utakoma? money isnt every thing
unaweza toa gari wala usile kuna mkuu wangu wa kazi alijichanganya kutoa gari na tunda hakula kilichofuata ni pressure inapanda mara inashukaNashindwa kuamini, hivi kweli mdada wa leo ahongwe gari achomoe!
Ngoja niwaachie wenyewe, lakini mimi naona ni ngumu kumeza.....................................
Huyo mwanaume ana wekwa kundi la wasio kubali kushindwa!
mwenyewe originally! huyu dada kanikera, ni mnafiki, nimeona nimpe za uso! mzima wewe best?
mwenyewe originally! huyu dada kanikera, ni mnafiki, nimeona nimpe za uso! mzima wewe best?