manshiroo
Senior Member
- Jul 2, 2012
- 150
- 138
Hivi wanaume wanaaomba penzi na kukataliwa kisha kuchukua uamuzi wa kumtafuta mtu ambaye ni mpenzi wako na kumpiga mkwara kwamba achana na binti/mwanamke fulani kwani ni demu wangu wanakauwawaga anawaza nini? ama je ka wanaojua watawaweka kundi gani?
manake utakuta mtu anahonga hadi gari na kupiga outing za mahotel makubwa lakin binti unakataa sasa anaona pesa yake bado haijakuconvice anaamua kutumia njia ya kuwasiliana na yule wa moyo wako ili akuharibie ivi wanakuwa wamelogwa ama ni wazima wa akili? au je ni kwamba mtu ukiwa na hela basi mwanamke avutike tu na wewe? Jamani niliye naye hana hzo hela zako ila kweli sikutaki na kama ukohumu ujue tu sikupendi hela yako ikawanunue wengine mimi na huyu wangu basiiii.
nawasilisha.............
manake utakuta mtu anahonga hadi gari na kupiga outing za mahotel makubwa lakin binti unakataa sasa anaona pesa yake bado haijakuconvice anaamua kutumia njia ya kuwasiliana na yule wa moyo wako ili akuharibie ivi wanakuwa wamelogwa ama ni wazima wa akili? au je ni kwamba mtu ukiwa na hela basi mwanamke avutike tu na wewe? Jamani niliye naye hana hzo hela zako ila kweli sikutaki na kama ukohumu ujue tu sikupendi hela yako ikawanunue wengine mimi na huyu wangu basiiii.
nawasilisha.............