GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 6
- Thread starter
- #121
Aaa hatuko kiivo sweeti, wajua hata cc wakati kama huo.......... stimu inakata kabisa............ hapo kwenye red Nyamayao asemaInategemea mpenzi kama hakuwa na wa kumsherehesha wakati wa mnuno ah siku ya kupatana huwa ni sherehe haswaaa lakini kama ndo ilikuwa kwako mnuno kwa mwenzio kicheko loh mbona yala kwako??......... maana utabembeleza hadi akiamua kumaliza mnuno we unaambulia tu ........"Bahati yako"..... hakuna cha tendo wala kiss labda a peck on your cheek tena ya kulazimisha.......mapenzi haya nyie yaacheni tu mwe
we mpitie kwa juu tu ............hahahh au hapa hii haikuji .....:smile-big: