Ha ha ha; The Finest baada ya kujicheki umeonaje?
Yupo kwenye makange na supu
Ha ha ha; The Finest baada ya kujicheki umeonaje?
inategemea na kosa ...
+ kulala na jinsi + Viatu + tishet + kuonyoa ndevu = mnuno wa kiume
Bro hata awe amekosa nini kununa sio staili ya kidume cha mbegu
huwezi kuwa umechakachuliwa huko nje, halafu mwanaume wako asinune eti kwasababu hiyo sio staili yao!!NO.........
Ukiona kanuna na mwanamke ana furaha basi ujue wamebadilishana majukumu, mke kawa mume na mume kawa mke!!! hapo sasa!!!
Mwanaume wa ukweli huwa anasema tatizo na kuchukua hatua sio kununa kaka....kwani kununa hakumsaidii chochote tena ndio anampa mpenzi wake credits
Labda tungepata definition ya KUNUNA ingeweza kutusaidia!
Ha ha ha; The Finest baada ya kujicheki umeonaje?
Yaani hapa nilipo natafakari kama NIMENUNA[/B] AU NIMEKASIRIKA
Mpwa au hayo ni maneno yanayotumika interchangeably?????
akitoka mfalme suleiman kwa busara ..BASI UNAFATIA WEWEninune niue cell zangu bure, mi nakuchana ryt on point, ukikiri nacheki uzito wa kosa, then nacheki mstakabari wa ndoa yetu, mzani ukitulia nakusamehe,lyf goz on, everybody got weekness
Hapana mwanaume anakasirika lakini hanuni :nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
akitoka mfalme suleiman kwa busara ..BASI UNAFATIA WEWE
i lik t.congrats if ts true.
akitoka mfalme suleiman kwa busara ..BASI UNAFATIA WEWE
i lik t.congrats if ts true.
umeshapata lunch we bidada?kuna koni ya azam ya kushushia huku , karibu!!!!!!!
Ila mwanaume KUNUNA wala haileti picha nzuri kabisaa