Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,298
Finest....wacha tu, m2 mzima na akili zake unajaribu kumbembeleza akueleze tabu k2 gani, ndio kwanza anakwambia wewe niache!...khaaa nilimuacha ukweli mpaka alivyojickia kuongea aliongea, hapa Dena labda aseme kulikuwa na mikwaruzano nitamuelewa, kweli maisha yana shughuli haya, mikiki mikiki kibaooo.
hata wewe umeonekana dada,
kweli hili limekugusa.