The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
There is no formula for human behavior!
All the answers you will get from this forum is just guess work and assumptions.
hivi wewe jinsia yako ni ipi?
There is no formula for human behavior!
All the answers you will get from this forum is just guess work and assumptions.
Sinywi pombe wala sivuti sigara, ulevi wangu ni kusifu na kuabudu nyumbani mwa BWANA YESU.
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa pombe,kuvuta sigara au starehe nyingine inayo-fanana na hizi,starehe yao ni kufanya mapezi na wanawake.Sijui utafiti huo ulifanyika wapi lakini ndo hivyo huku mitaan watu wanavyoamini.Sasa ngependa kujua je na wanawake nao wasiokunywa pombe,kuvuta sigari au mambo yanayo fanana na hayo nao starehe yao ni kufanya mapezi na wanaume??.Najua humu JF kuna wenyeufaham mpana watanielewesha vizuri...NAWASILISHA
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa pombe,kuvuta sigara au starehe nyingine inayo-fanana na hizi,starehe yao ni kufanya mapezi na wanawake.Sijui utafiti huo ulifanyika wapi lakini ndo hivyo huku mitaan watu wanavyoamini.Sasa ngependa kujua je na wanawake nao wasiokunywa pombe,kuvuta sigari au mambo yanayo fanana na hayo nao starehe yao ni kufanya mapezi na wanaume??.Najua humu JF kuna wenyeufaham mpana watanielewesha vizuri...NAWASILISHA
jf is never boring lol...
Sinywi pombe wala sivuti sigara, ulevi wangu ni kusifu na kuabudu nyumbani mwa BWANA YESU.
wewe sasa ulevi wako ni tofauti kidogo, ulevi wako ni k..a,ya mkeo na sio wanawake lukukiMimi c mlevi wa chcht ktk mtoa post alivyoviainisha bt swali lake lime'create another quiz kwangu! HV INAPOSEMWA MR/MISS "A" NI MLEVI WA WANAWAKE/WANAUME inaleta maana ipi? Nilivyo mie nina mwanamke mmo1 tu! Na kw vl ctumii vilevi tajwa huyu mwanamke ndy kilevi chng mchana namsukumia bao mbili & uck mbili-3 maximum bao 5 per day, tofauti na hapo lbd awe "msimbazi" ndy mi napumzika KULEWA, swali hapa namie niitweje? Mlevi wa mwanamke? Italeta maana? Mtoa post anasema ili uitwe mlevi c.v ni WANAWAKE (zaidi ya mmo1) mimi nalewa kw MWANAMKE mmo1.