Mwanaume asiyekunywa pombe,kuvuta sigara eti ulevi wake ni wanawake?

Utafiti nilioufanya mimi naona ulinipa majibu tofauti na ya mtoa maada. Nilichogundua ni kwamba kwa wanaume wanywa pombe, kichwa cha juu kikilewa cha chini ndiyo kinachaji zaidi
 
Nakunywa pombe na kuvuta sigara kiburudisho changu baada ya hivyo vyoote ni mabinti
 
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa pombe,kuvuta sigara au starehe nyingine inayo-fanana na hizi,starehe yao ni kufanya mapezi na wanawake.Sijui utafiti huo ulifanyika wapi lakini ndo hivyo huku mitaan watu wanavyoamini.Sasa ngependa kujua je na wanawake nao wasiokunywa pombe,kuvuta sigari au mambo yanayo fanana na hayo nao starehe yao ni kufanya mapezi na wanaume??.Najua humu JF kuna wenyeufaham mpana watanielewesha vizuri...NAWASILISHA

Kweli kabisa na jamaa zangu 5 wakianza misele ya kuvizia wanawake ni noma anasubili hata saa 7 kama ni mhudumu wa hotel au bar afunge aondoke nae
 
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa pombe,kuvuta sigara au starehe nyingine inayo-fanana na hizi,starehe yao ni kufanya mapezi na wanawake.Sijui utafiti huo ulifanyika wapi lakini ndo hivyo huku mitaan watu wanavyoamini.Sasa ngependa kujua je na wanawake nao wasiokunywa pombe,kuvuta sigari au mambo yanayo fanana na hayo nao starehe yao ni kufanya mapezi na wanaume??.Najua humu JF kuna wenyeufaham mpana watanielewesha vizuri...NAWASILISHA

The problem of common sense, it is not common.
 
jf is never boring lol...

boss usishangae kuna siku nilikuwa kwenye kundi la wanywaji hadi mida ya saa saba, jamaa wakawa wanashangaa iweye nawatia hasara kwa kuzungusha red bull na bavaria kila round ikija. Mwishowe wakaniambia kuwa lazima ntakuwa 'napiga sana mashine' maana ni starehe gani tena zaidi ya hiyo kama sinywi, sivuti ...... na hii kitu imenikuta mara nyingi sana.
 
Hapa mimi napita tu_maake sinywi,sivuti,sio mtu wa mademu,sipendi mpira,sipendi music,ni anti socio,sipendi kazi,...yaani sijui hata napenda nini?
 
huenda kukawa na ukweli maana mimi situmii vyote hivyo lakin najiona ni wamoto kinoma
 
Neno starehe ni pana mno iwe kwa mwanamke au kwa mwanaume hivyo mkuu umeliangalia neno starehe kwa membamba yake hapo!
 
Mimi c mlevi wa chcht ktk mtoa post alivyoviainisha bt swali lake lime'create another quiz kwangu! HV INAPOSEMWA MR/MISS "A" NI MLEVI WA WANAWAKE/WANAUME inaleta maana ipi? Nilivyo mie nina mwanamke mmo1 tu! Na kw vl ctumii vilevi tajwa huyu mwanamke ndy kilevi chng mchana namsukumia bao mbili & uck mbili-3 maximum bao 5 per day, tofauti na hapo lbd awe "msimbazi" ndy mi napumzika KULEWA, swali hapa namie niitweje? Mlevi wa mwanamke? Italeta maana? Mtoa post anasema ili uitwe mlevi c.v ni WANAWAKE (zaidi ya mmo1) mimi nalewa kw MWANAMKE mmo1.
wewe sasa ulevi wako ni tofauti kidogo, ulevi wako ni k..a,ya mkeo na sio wanawake lukuki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom