Kuondoa uonevu wa aina hii kwa wanaume, kule kwetu kwa akina Chacha, Mwita, Marwa na Wambura, huwa tunamkabidhi kijana zana za kutunzia ndoa siku ya harusi. Zana hizo ni pamoja na Rungu, Sime, Panga, Upinde na mkuki. Mwanamke akileta za kuleta zana mojawapo inatumika na nidhamu inarejea kama kawaida.Ahaaa mi sikubali i see jamaa kama bushoke
Mbona hako kamwanaume kanaonekana kama kadogo. Ndoa za vipigo sio ndoa.
Mwajuma
hamisi kishindindo
Ntakudunda
we unaweza kunidunda?
Ndiyo naweza
nitakulegeza ushindwe kukunja ngumi. Sijui utanidundaje.
Utafanya nini hadi niwe na hiyo hali?
hehehe! Kwani unataka kulegea?
Sitaki.
afadhali.
Lakini bado ntakudunda
unapenda kudunda eeh?
Sana tu Mwajuma. Wewe hupendi kudundwa?
mi sipendi maumivu.