hehe BAGAH njoo
Mwanaume kukamerooniwa ndo sifa,
mwanaume anasifiwa uhandsome a,a, mwanaume anasifiwa suraa, mwanaume anasifiwa kudeposit na kutoa heraaa kwenye ATM hahahhaa. Sio mimi ni The comedy
hahahhah umechaguliwa na mwl mkuu kutoa jibu, hahaha hebu jibu ukikosa tutakupa mji lolha ha ha ha ha ha ha ha ah a aha haaaaaa
Una visa vya madenge wewe lol
mi naona comedy wamemaliza kila kitu.....
hahahhah umechaguliwa na mwl mkuu kutoa jibu, hahaha hebu jibu ukikosa tutakupa mji lol
Unadhani sura inaweka chakula mezani au ionafanya maamuzi
Wanaume wazuri wengi maboya,wa kuonja tu ila usifanye nao maendeleo ya mradi wowote.
Unadhani sura inaweka chakula mezani au inafanya maamuzi magumu inapohitajika?
Wanaume wazuri wengi maboya,wa kuonja tu ila usifanye nao maendeleo ya mradi wowote.
Nakuibia hii huwa ya chini ya kapeti (Wanamme wengi wasio na sura za mama zao, wenye sura za baba zao, huwa wanajua kukea wewe!)Jaribu uone lol
Unadhani sura inaweka chakula mezani au inafanya maamuzi magumu inapohitajika?
Wanaume wazuri wengi maboya,wa kuonja tu ila usifanye nao maendeleo ya mradi wowote.
Nakuibia hii huwa ya chini ya kapeti (Wanamme wengi wasio na sura za mama zao, wenye sura za baba zao, huwa wanajua kukea wewe!)Jaribu uone lol
suruali ya mazoezi haivaliwi na mkanda....
hata mwenye raba huoga na malapa....
;> ..........! Wewe umeamua kutukana watu sio !?Mwanaume kukamerooniwa ndo sifa,
nehi nehi....pyar ku ne tahe....saa zingine sura inachangia kukupa apetaiti....
lol, nenda kijijini uone wakina mama wakihangaika shambani, kuchota maji n.k. halafu njoo useme wanaume tumeumbwa kwa mateso.wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.....
(Source: Msondo ngoma)
In no particular order
- money
- providing/caring for wife + children
- calm under pressure + emergencies
- balancing work and family life
maneno kuntu ! Wasssira anaweza kukupa mzuka kama mmewasha taa ?nehi nehi....pyar ku ne tahe....saa zingine sura inachangia kukupa apetaiti....
Una miaka mingapi? Bado unapewa apetite na sura?
Una-date wenye miaka mingapi? Wasiojua how to unleash ur dragons kwa ujuzi hadi utizame sura? Pole kwa kweli lol
kama sura mali tungekimbia kwa wanawake wenzetu lol
maneno kuntu ! Wasssira anaweza kukupa mzuka kama mmewasha taa ?