mwanaume kutoboka bibie, sura hata nyani anayo.
suruali ya mazoezi haivaliwi na mkanda....
hata mwenye raba huoga na malapa....
wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.....
(Source: Msondo ngoma)
Mwanaume anasifiwa akiwa na hizo kwenye avatar yangu.................
Hata kuwaMIMBA ni sifa pia.
Mmmh Jaji mwanaume kuwa na mimba au wamaanisha kumimbisha lol
No no! my dear umeniQuote wrong!
Nina maana hata mwanaume kuwapachika mimba wanye sifa ya kupachikwa ni sifa kwa mwanaume.
mwanaume kutoboka bibie, sura hata nyani anayo.
Na hii ndo imechukua kombe lol
Ha ha ha ha ha ha, umejipindia kweli
mwanaume anasifiwa uhandsome a,a, mwanaume anasifiwa suraa, mwanaume anasifiwa kudeposit na kutoa heraaa kwenye ATM hahahhaa. Sio mimi ni The comedy
Jibu la hili analo Kongosho only.