Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ya mwanamke bikira yake vipimo vipo wazi na ya mwanaumme tutaipima kwa kutumia vipimo vipi?
:nono::nono::nono:Ya mwanamke bikira yake vipimo vipo wazi na ya mwanaumme tutaipima kwa kutumia vipimo vipi?
Ya mwanamke bikira yake vipimo vipo wazi na ya mwanaumme tutaipima kwa kutumia vipimo vipi?
Hii inafanyika sana kule KwaZulu, Natal!Niliwahi kusikia mahali kuwa, mtoto wa kiume akiwa anakojoa mkojo ukaenda juu basi huyo hajaanza uharibifu. Ikitokea mkojo ukatoka kwenda straight chini kama bomba la maji, basi huyo tayari keshafanya uharibifu.
Sababu - kuna vimishipa fulani huwa vinaloose confidence mtoto akianza uharibifu.
Kama kuna wataalamu wa mambo ya afya watuambie au watusaidie.
Kaka ni Wasomali!Kwa akina mama wa Kiarabu, siku hizi zinashonwa na kuwa kama mpya.
Wakuja akiowa anafikiri kaowa bikira kumbe kilometer kibao zimeshakwenda.
Kwa wanaume nasikia Sheik Yahya ana mashine inaitwa Mt**bo meter.
Ya mwanamke bikira yake vipimo vipo wazi na ya mwanaumme tutaipima kwa kutumia vipimo vipi?
Niliwahi kusikia mahali kuwa, mtoto wa kiume akiwa anakojoa mkojo ukaenda juu basi huyo hajaanza uharibifu. Ikitokea mkojo ukatoka kwenda straight chini kama bomba la maji, basi huyo tayari keshafanya uharibifu.
Sababu - kuna vimishipa fulani huwa vinaloose confidence mtoto akianza uharibifu.
Kama kuna wataalamu wa mambo ya afya watuambie au watusaidie.
mwanaume ni bikra tu daima dawamu.