Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,442
Ukistajaabu ya Musa utayaona ya ....
Kuna jamaa huku Shinyanga amefumwa akinadi viungo vya mke wake baada ya kumchinja, amekutwa na kichwa, matiti pamoja na kikojoleo.
Kibaya zaidi alikuwa ananadi mbele ya polisi akisema kuwa anauza nyama.
Sijui ni ugumu wa maisha au alimchoka huyo mke wake bado ni siri yake huyo jamaa.
Kuna jamaa huku Shinyanga amefumwa akinadi viungo vya mke wake baada ya kumchinja, amekutwa na kichwa, matiti pamoja na kikojoleo.
Kibaya zaidi alikuwa ananadi mbele ya polisi akisema kuwa anauza nyama.
Sijui ni ugumu wa maisha au alimchoka huyo mke wake bado ni siri yake huyo jamaa.