Ndo maana nakupendaga mpaka nasahau kama kumeshakucha...nimempa Valium Leo alaleee!!mpk asubuhi
Knock... knock... guess who is there?nakupenda pia my babe!!
Say bye kwa wapambe...welcome babyy!the room is urs!!
utashtakiwa kwa mafunzo ya kigaidi
Tatizo ni kuwa alipoondoka ukawa na hali mbaya na hadi anarudi bado hali ni mbaya, ukimuona unahisi heri imeshuka aacha niendelee naye make mateso niliyopata yanatosha kumbe ni balaa tupu.Hahahaa
Mwanaume wa hivyo inamtiririsha vibaya mno asilete ujinga hapa
Sema wanawake nao sometimes hawajitambui....jitu limekutelekeza miaka.......linarudi unalipokea yelewiiiiiii
Yaani ukiondoka usithubutu kurudi......kama shida kujua hali za wanao nitakupa namba zao za simu...au landline ya familia...
Nani anataka inzi....
Unakuta baada yakuondoka nawe ukasema yes sasa ndo muda wa kula gud tyme na mchepuko wako kwahiyo akirudi utaona ni sawa tu awe na maradhi hana wewe ulikochepukia huna uhakika kama pako salamaKwa hiyo tufe wote? Yeye kagharamika huko na raha juu kuyatafuta maradhi, aje kunipa mie maradhi bure bure? aseeeeeeee
Ni kweli inasikitisha. ...WATU WASISAHAU KUWA LAZIMA UTAVUNA ULILO LIPANDA HAKUNA NJIA NYINGINE. ..Mungu wangu!!!dah Anakuletea na maradhi wanawake wengi hiyo hutukuta huo no mfano mmoja tu!na wanarudi wakishafilisika maana kule pesa kwanza!!wanaume wengi wanakuja kugundua makosa yao baadae sana na wameshachelewa!!
Daah huzuni sana!
Love, leo umekumbuka kuniwekea chachandu na juice ya ukwaju??
Ningeshangaa.. niko hapa jirani... nikuletee nini?
Umekinai upaja wa kuokwa? Basi sawa aweke na kachumbari ama?
basi tukutane twende wote kwa pamoja ili kila mtu afaidi
Ewaaaaaa.... hapo umenena. Ukiwa tayari si utanambia? Au niangalie ishara za nyakati??
Sio wote, wengine wanabaki wametulia tu, busy na watoto waoUnakuta baada yakuondoka nawe ukasema yes sasa ndo muda wa kula gud tyme na mchepuko wako kwahiyo akirudi utaona ni sawa tu awe na maradhi hana wewe ulikochepukia huna uhakika kama pako salama
Yani huyo panadol mmhHahaha, wamefurahisha hawa.
What about your me, I and myself???thanx dear!yashapita,mpaka nimeyasema,sasa hv nimeanza maisha mapya!
my kids,my life!
Hivi wewe mbona unapenda kuijaribu sumu kwa kuionja? Mambo mengine we yaachege yapite jama upepo... kikombe alichonipa baba, sitakinywa???Khaaa!, yaani nimejipinda najipikilisha kumbe wengine wanapelekewa take away!!
Ama kweli wewe Babu Lao.
Cc atoto