Mwanasiasa Mh. Ummy Ally Mwalim kutoka Zanzibar anavuka utamaduni na maadili?

leteni picha

halafu mjue huyu ni mbunge kupitia Tanga na si wa Zenji


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Ms Ummy Ally Mwalimu has a Master of Law (LLM in Human Rights and Democratization in Africa), University of Pretoria (2001), Bachelor of Law (LLB) Hons. University of Dar es Salaam (1998). She worked as a researchassistant with both ESRF and the Globalization project for two years fromDecember 2001 to November 2003. Prior to that she was a Junior Consultant with the Office of the Legal Counsel, Organization of Africa Unity (OAU) General Secretariat in Addis Ababa Ethiopia. [/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mwalimu, U. (2002), Implications of WTO/TRIPS in East Africa - With Special Emphasis on Pharmaceutical Patents - download[/FONT]
 
CV yake ni hii (waja leo waondoka leo)
SchoolName/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
ChanikaPrimary School, Handeni PrimaryEducation 1980 1986 PRIMARY
MkwakwaniPrimary School, Tanga PrimaryEducation - - PRIMARY
UsagaraSecondary School O-Level Education 1987 1990 SECONDARY
KorogweGirls Secondary School A-LevelEducation 1991 1993 HIGHSCHOOL
Universityof Dar Es Salaam LLB 1995 1998 GRADUATE
Universityof Pretoria, South Africa LLM(Human Rights & Democratization in Africa) 2000 2001 MASTERS DEGREE
Ministryof Justice and Constitutional Affairs - 1998 1999 CERTIFICATE
Universityof Oxford Refugee Studies 2008 2008 CERTIFICATE

CERTIFICATIONS
CertificationName or Type CertificationNo. Issued Expires
No items on list


EMPLOYMENT HISTORY
CompanyName Position From Date To Date
TheParliament of Tanzania Member- Special Seat 2010 2015
Ministryof Community Development, Gender and Chidren DeputyMinister 2010
Embassyof Denmark/DANIDA CoordinatingOfficer 2004 2010
Legal& Human Right Centre LawOfficer 2004 2004
Economicand Social Research Foundation, ESRF, Tanzania AssistantResearcher 2002 2003
OAUGeneral Secretariat LawAdvisor 2001 2001
TheLaw Reform Commission of Tanzania LawResearcher Officer 2000 2001
 
Chakula cha mzee full stop.مسججأإ تافعيحيب ةن تبتتبمبح تبتتنبلمممككنتتن
 
Hivi mtoa mada unaonaje kama ungemtafuta pale Wizarani ukamuambia hoja zako moja kwa moja? Ina maana waislamu wote waliopo mjengoni wanavaa hijabu au ni yeye tu unataka avae?
Na umeambiwa na nani kuwa yeye ni Mzanzibari?
Yani umekaa limekuumaa mpaka ukaona uanzishe thread? Halafu unatudanganya kuwa ktk kona za ZNZ watu wanaongelea hilo?
Ummy is an intelligent independent lady mwacheni akae alivyo. Km hijabu ni tija kwako basi waambie wengine wanaokuhusu mwache mke wa watu akae anavyopenda yeye na mumewe.
 
Hivi kwanza mnatukana wazanzibar pasipo sababu baaada ya kumtukana mtoa mada ambaye hajatoa ushahidi wowote ni maneno ya hapa na pale. ........... ila hata kama ni kweli mbona hata si suala la wazanzibari ni suala la waislamu........... think critically you guys. you are great thinkers............ ikiwa hiyo haitoshi mbona hata huo ukiristo wenu pia umeeleza the same kwamba mwanamke anatakiwa ajistiri kwa kuvaa hijaaab.... wajinga watapinga ila werevu na wajuzi watakubaliana nami.........
 
Yaani Jk kiboko anajua sana kuchagua...mtoto ametulia sanasana....anaitaa!!!ndio maana mtaalaam wa anga hizo alimuona hataki akae mbali!!
 
mbona aliyekuwa FIRST LADY WAO Bi. Shadia Karume alikuwa mara nyingi alikuwa akionekana kichwa wazi?
 
Kuna mijadala ya chinichini huko Zanzibar kuhusu anavyoonekana bungeni ni sehemu za wazi kwa mama huyu.wengi wanasema hawajawahi kumuona mama wa Kizanzanzibar sio tu baraza la wawakilishi hata bungeni kuwa kichwa wazi kama anavyojiachia yeye.wengi wanajidai kukaa kichwa wazi sio utamaduni wa Mzanzibar ambae kwa kiasi kikubwa ni jamii ya kiislameti wanasema wabunge na wawakilish au hata mwaziri, manaibu waziri wanaotoka visiwani haijawi kutokeakujiachiaEti wangi wanasema kutojistiri kichwa kama wanavyofanya.wanauliza kuna tofauti gani kati ya naibu waziri huyu mwenye jina la kiislam na mchungaji MAMA LUWAKATARE?
mleta mada ni m'mbeya! Ndio maana hamjui muhusika na uzi umeandikwa kinafiki nafiki, sasa ndo umekuja kushtaki jf wamchukulie hatua ?
 
Jina zuri la kiislam, kinachotakiwa ni kujifunika kichwa
 
Kuna mijadala ya chinichini huko Zanzibar kuhusu anavyoonekana bungeni ni sehemu za wazi kwa mama huyu.wengi wanasema hawajawahi kumuona mama wa Kizanzanzibar sio tu baraza la wawakilishi hata bungeni kuwa kichwa wazi kama anavyojiachia yeye.wengi wanajidai kukaa kichwa wazi sio utamaduni wa Mzanzibar ambae kwa kiasi kikubwa ni jamii ya kiislameti wanasema wabunge na wawakilish au hata mwaziri, manaibu waziri wanaotoka visiwani haijawi kutokeakujiachiaEti wangi wanasema kutojistiri kichwa kama wanavyofanya.wanauliza kuna tofauti gani kati ya naibu waziri huyu mwenye jina la kiislam na mchungaji MAMA LUWAKATARE?

Nafikiri ujipanga na kuandika vizuri.

Bi Ummy Ally Mwalimu kama umepitia profile ake vizuri ni Mbunge viti maalum CCM kutokea mkoa wa Tanga. Ni yeye aliechukua nafasi hio toka kwa Bi Aisha Kigoda.

Sasa waZanzibar wanaingiaje hapo? Au dini yake ndio mnayoinasibisha na Zanzibar?

 
Hili sijaliamini bado hasa ukizingatia huyo Ummy ni mbunge kupitia Tanga.
 
Hivi kwanza mnatukana wazanzibar pasipo sababu baaada ya kumtukana mtoa mada ambaye hajatoa ushahidi wowote ni maneno ya hapa na pale. ........... ila hata kama ni kweli mbona hata si suala la wazanzibari ni suala la waislamu........... think critically you guys. you are great thinkers............ ikiwa hiyo haitoshi mbona hata huo ukiristo wenu pia umeeleza the same kwamba mwanamke anatakiwa ajistiri kwa kuvaa hijaaab.... wajinga watapinga ila werevu na wajuzi watakubaliana nami.........

Wameambiwa wafunike kichwa wakihutubu tu yaani hata kilemba tu cha kichwani kinatosha,sio kila wakati ila kwa waislam nadhani wanatakiwa
wakati wote na sio kichwa tu ni pamoja na shingo na mikono kwa hiyo bado ni vitu viwili tofauti.

Nadhani hata wewe umepokea hilo kwa kusikia
tu ukitakiwa utoe maandiko nadhani utakuwa
huna manake kwenye bible hakuna neno hijaab.
 
Back
Top Bottom