Mwanasiasa maarufu Tanzania

Ni nani mwanasiasa Maarufu katika Tanzania kwa sasa?

  • Jakaya Kikwete

    Votes: 15 6.4%
  • Edward Lowassa

    Votes: 7 3.0%
  • Ibrahim Lipumba

    Votes: 3 1.3%
  • Freeman Mbowe

    Votes: 8 3.4%
  • Bernard Membe

    Votes: 1 0.4%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 6 2.6%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 2.1%
  • Seif Sharrif

    Votes: 10 4.3%
  • Dr. Slaa

    Votes: 146 62.7%
  • Zitto Kabwe

    Votes: 16 6.9%
  • Dr. Mwakyembe

    Votes: 4 1.7%
  • John Magufuli

    Votes: 7 3.0%
  • Anne Kilango

    Votes: 2 0.9%
  • Augustine Mrema

    Votes: 3 1.3%
  • Salim A. Salim

    Votes: 6 2.6%
  • Amaan Karume

    Votes: 1 0.4%
  • Rostam Aziz

    Votes: 8 3.4%

  • Total voters
    233
Moto wa Dr Slaa uko palepale! Hayumbishwi, hatetereki, hanyamazishwi, hana njaa za kifisadi! He is the only voice of true political revolution, has remained Tanzania!
Dr tunaomba mwongozo, mtazamamo na ushauri wako kuhusu uuzwaji wa mitambo ya Dowans!
 
VOTE HAPO JUU,
HATA KAMA SIO MWANACHAMA WA JF UNAWEZA KUPIGA KURA

Hii ni Opinion poll ya JF kuangalia nani ni mwanasiasa maarufu na mwenye mvuto.

Majina yako in alphabetical order

Limitation of the poll:

Nimeona niweke walau watu ambao wanaweza kuwania nafasi ya juu ya uongozi na kushinda, kama kuna mapendekezo waongezwe wengine usisite kusema. Pia nimetoa majina kutoka kwenye vyama vikuu vitatu niki-assume kwamba mtu kutoka chama kidogo hawezi kushinda.

Unaongaliwa ni umaarufu wa kuitumikia/kuitetea jamii au umaarufu wajambo lolote hata iwe ni kuiba na kutorosha mali za taifa? Ni vema tukaeleweshana kidogo.
 
wanasiasa wa CCM tumewachoka, sidhani kama kuna aliye maarufu kwasasa! Ila tatizo ni kwamba, watanzania tunachagua viongozi kwa mazoea!
 
Swali zuri zaidi la kupigia kura ni hili:

“NI NANI ANAFAA ZAIDI KUWA RAIS WA TANZANIA”?

Nakuomba Maxence uanzishe poll yenye swali hilo. Kwa upande wangu, naamini Dr. Slaa ndiye atakayeweza kuleta mabadiliko.

Akichaguliwa Dr Slaa, basi TUMAINI litarudi tena kwenye mioyo ya Watanzania. Kwa sasa wamekatishwa tamaa na hawa viongozi wa CCM.
 
Ingekuwa vema kama swali lingehusu uwezo wa kuwa rais kuliko kuwa maarufu tu. Mtu anaweza kuwa maarufu kwa ufisadi, usanii, nk.
 
Ila kuna wenye uwezo mkubwa wa kuwa Rais lakini hawafai. Nchee Nkapa ni mmojawapo. "Kufaa" huenda ni kigezo kizuri kuliko "kuwa na uwezo".
 
Ila kuna wenye uwezo mkubwa wa kuwa Rais lakini hawafai. Nchee Nkapa ni mmojawapo. “Kufaa” huenda ni kigezo kizuri kuliko “kuwa na uwezo”.
 
Mkuu samahani, ila huo umaarufu ni kwa kutumia vigezo gani hasa? Kujulikana tu au umaarufu katika utendaji wa mwanasiasa husika? Manake hapo wanatofautiana, kama tukitumia kigezo cha umaarufu kwa kujulikana jibu nadhani hata wewe mwenyewe unalo tayari.

Nitashukuru nikipata ufafanuzi zaidi kabla sijapiga kura yangu.

Chagua lenye nguvu zaidi, je wewe unaona lipi lenye nguvu zaidi: kujulikana tu kisiasa hata kwa siasa mbaya za ufitini ama utendaji wa unayoyasimamia kisiasa kwa faida ya umma?
 
Mmoja ni muuza unga na ana biashara ya one billion na mwingine ana kiwanda cha soda na biashara yake ni nusu billion, hapa mfanyabiashara maarufu ni muuza soda.
 
Anaye kataa Si Dr Slaa atakuwa analake jambo au haelewi ni kiongozi gani ndani ya miaka mitano hii kapigania Nchi ya Tanzania
 
Back
Top Bottom