Wakuu wa mikoa na wa wilaya wanatekeleza ilani ya chama alishasema Mtoto wa Mkulima.Mkuu wa wilaya korogwe ndugu Mrisho Gambo amemwambia mwanasheria wa wilaya hii kuwa ana degree ya
chupi kufuatia majibu ya mwanasheria huyo dhidi ya kesi kati ya wafanyabiashara na halmashaur.
Mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo dc akaamua amchane ......, source: mwananchi
Napita tu jamaa hana hata tafsida lol.
atavuna alichopanda
tatizo la kuchagua marafiki ya watoto wake... Dc ni it specialist... Lini siasa ya u-dc?
mi nashangaa watu wanashindwa kujadili kama kweli degree ya huyo mama ni ya chupi au la..wao wanaleta ufuasi wa siasa..hizo degree zipo nyingi sana na ndo zinazoleta matatizo kwenye jamii.unaona mtu msomi lakini maamuzi yake hayaendani na cheti chake,tukijadili vizuri hiyo mada tutapata mengi kuliko kuhamishia lawama kwa DC.
gambo kasoma Uhasibu Arusha ambako hakuna kozi ya sheriaHuenda walisoma wote, hivyo anajua alivyokuwa akipata alama zake kwa njia hiyo ya chupi, ingekuwa serikari makini siyo dhaifu, huyu hakutakiwa kuwa DC hadi muda huu, angekua kishaachishwa na yuko mahakamani kujibu kesi ya kudhalilisha.
Tatizo la watanzania ni kupima umakini wa mtu kwa maneno anayoongea au porojo badala ya actions za mtu. Mtu aliye makini hawezi kufanya udhalilishaji wa kijinsia kama huo
Yawezekana alisoma nae na aliona alivyokuwa akigawa uloda kwa malecturer, UDSM mbona ndo mchezo? maana personally nawajua madada walokuwa wakija na maswali tnayasolve na next day yanaappear kt exam, atatoa ushaid na mtashika midomo kwa aibu