Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Mwanasheria alikua na mbwa wake.Siku moja mbwa aliingia Buchani akaiba nyama na kukimbia.
Muuza nyama akamfuata Mwanasheria. "Mbwa wako akiingia buchani kwangu nakuiba nyama, Je napaswa kukudai malipo?"
Mwanasheria: "Ndio"
Muuza nyama: Ok nakudai 12,000/=
Mwanasheria akamlipa Muuza nyama.
Baada ya siku kama nne hivi muuza nyama alikuta bahasha buchani kwake,alipoifungua ilikua karatasi imetoka kwa Mwanasheria imeandikwa "45,000/=, ada ya kumwona Mwanasheria (Consultation Fee)"
Muuza nyama akamfuata Mwanasheria. "Mbwa wako akiingia buchani kwangu nakuiba nyama, Je napaswa kukudai malipo?"
Mwanasheria: "Ndio"
Muuza nyama: Ok nakudai 12,000/=
Mwanasheria akamlipa Muuza nyama.
Baada ya siku kama nne hivi muuza nyama alikuta bahasha buchani kwake,alipoifungua ilikua karatasi imetoka kwa Mwanasheria imeandikwa "45,000/=, ada ya kumwona Mwanasheria (Consultation Fee)"