Jamaa mmoja mwanasheria alikuwa na kimada, siku moja wakati anatoka kazini kampakiza kimada kwenye gari yake wakafanya mapenzi, baada ya mambo yao, Demu akasahau chupi yake kwenye gari, jamaa kufika home mkewe kampomea vizuri na alipofungua mlango wa nyuma kaikuta chupi, kakasirika kaichukua chupi kaichanachana uku akimshutumu mme wake kwa umalaya,
Mwanasheria kuona ngoma nzito kamfuata mkewe akamwambia , you have destroyed the evidence for my client on the Rape case., that case I could get alot of millions.
Wife. Ooh very sorry dear.shit
Mwanasheria kuona ngoma nzito kamfuata mkewe akamwambia , you have destroyed the evidence for my client on the Rape case., that case I could get alot of millions.
Wife. Ooh very sorry dear.shit