Vuta subira kesho baraza linatangaza mgogoro wa muungano. Soma thread vizuri wewe. Chukwani tomorrow there we shall be assembled to bare witness.
Hakuna baraza litakalotangaza mgogoro nchi hii. Hawa wajumbe wa baraza ni wanafiki tu wanaolilia matumbo yao na wala hawawakilishi matakwa ya wananchi wa kawaida.