MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Mwanasheria mkuu wa serikali(AG) Jaji Werema amewasilisha muswada wa marekebisho ya mafao ya kujitoa katika ofisi ndogo ya bunge jijini Dar es Salaam ukiwa na maana utajadiliwa kwenye mkutano wa bunge unaotarajiwa kuanza wiki ijayo tarehe 30 November,
Kwa mujibu wa muswada huo wa AG sehemu ya sita inapendekeza marekebisho ya sheria ya Pensheni ya mashirika ya umma PPF na kuwaacha NSSF kubaki ilivyo wakati inajulikana kuwa 85% ya wanachama wa NSSF ni sekta binasfi.
Sura ya 372 ya muswada huo kifungu kipya cha 44 kutoa fursa kwa mfuko huo wa PPF kutoa fao la kujitoa kwa manachama wake.
Kwa maana nyingine ni kuwa wanachama wa mifuko mingine kama NSSF itaendelea kutumia sheria ambayo imelalamikiwa na wafanyakazi nchi nzima.
Chanzo: Gazeti la nipashe.
Swali: Iweje serikali ilete muswada wa kurekebisha mfuko wa mashirika ya umma PPF ambao wanachama wake wana uhakika na ajira zao huku ikiuacha mfuko wa NSSF ambao ni asilimia kubwa ya wanachama wake ni sekta binafsi ambao hawana uhakika wa ajira zao??????
Kwa mujibu wa muswada huo wa AG sehemu ya sita inapendekeza marekebisho ya sheria ya Pensheni ya mashirika ya umma PPF na kuwaacha NSSF kubaki ilivyo wakati inajulikana kuwa 85% ya wanachama wa NSSF ni sekta binasfi.
Sura ya 372 ya muswada huo kifungu kipya cha 44 kutoa fursa kwa mfuko huo wa PPF kutoa fao la kujitoa kwa manachama wake.
Kwa maana nyingine ni kuwa wanachama wa mifuko mingine kama NSSF itaendelea kutumia sheria ambayo imelalamikiwa na wafanyakazi nchi nzima.
Chanzo: Gazeti la nipashe.
Swali: Iweje serikali ilete muswada wa kurekebisha mfuko wa mashirika ya umma PPF ambao wanachama wake wana uhakika na ajira zao huku ikiuacha mfuko wa NSSF ambao ni asilimia kubwa ya wanachama wake ni sekta binafsi ambao hawana uhakika wa ajira zao??????