Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Wanabodi hemima kwenu,mwanangu ana umri wa miaka mitatu.yaani dogo akilala anakoroma sana,wasi wasi wangu ni kwamba anaweza akaendele na ka habit haka mpaka ukubwani.napenda kuuliza je kuna namna naweza nikastop ka habit? Je kukoroma ni ugonjwa au husababishwa na nini.? Asanteni in advance.