.Nilikua na mpenzi wangu ambae nilimpenda sana na bado element za love zipo kwake, nilianza nae 2007 nikiwa f5 tuliishi vizuri na mimi nilikua wa kwanza kwake,penzi lilikuja kuingia doa 2011 pale wazazi wake walipo taka kumuozesha kwakua ni binti wa kiislamu na ana asili ya kiarabu, kiukweli swala la kubadili dini yalikua ni maamuzi magumu na mapema ingawa huko mbele ningefanya ivyo, kwa ufupi hadi sasa kaolewa lakini bado nampenda sana na amebadili namba,NIFANYEJE?
Chapa kazi utapata mkali zaidi.