Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Pole mkuu ni hali ya kawaida tu hiyo!Kimsingi nawashukuru wote mliorekebisha usemi huo,wengine walitaka kunimeza.
Pole mkuu ni hali ya kawaida tu hiyo!Kimsingi nawashukuru wote mliorekebisha usemi huo,wengine walitaka kunimeza.
Wameshatupiga changa la macho kwenye katiba.Ulikuwa hujui sheria ktk nchi yetu zipo kwaajili ya wanyonge na ndo maana katiba magamba wanaifanyia usanii