arnoldmoshi
Member
- Jan 6, 2011
- 21
- 1
Chadema kweli nie walalamishi. Mnafikiri kila mnachofanya jamii ipo pamoja nanyi?
Watu wanaangalia mbali sio mazuzu ya kukokotwa kwa ukanda na udini.
Huyu jamaa vipi tena, is everything has to be tagged to chadema na Udini???? MWananchi at least linajitaihidi kua objective, na huyu jamaa anaonyesha grievance kwanini hawalisomwi na wanaishia kusoma magazeti mangine anambayo tunajua yako biased...wapi ameongelea chadema, au udini hapo. Upupu wa chadema unakuwasha..we fisadi nini??? endelea kujikuna mzee.