Ndugu wanajamvi; Leo nimepata taarifa za gari la kusambaza magazeti kwenda Kanda ya Kaskazini mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuwa limepata ajari wilayani Same likielekea Arusha. Nyuma ya gari hilo kulikuwa na abiria ambao kwa taarifa nilizipata wamefariki watu wawili na dereva wa gari hilo.
Kutokana na aina ya ajari abiria walikuwa nyuma walivuja damu nyingi na kusababisha mzigo zote wa magazeti kutapakaa damu. Cha ajabu mzigo huo wa magazeti umesafirishwa hivi hivi na damu za maiti mpaka Arusha kisha kusambazwa mitaani kwa ajili ya kuuzwa.
Jamani hii mbona ni hatari kuuza Gazeti zikiwa na damu za watu? Naomba kuwasilisha huku nikitanguliza pole na maombi yangi kwa Mungu kwa ndugu wa marehemu wote waliokuwa kwenye ajari hiyo.
Kutokana na aina ya ajari abiria walikuwa nyuma walivuja damu nyingi na kusababisha mzigo zote wa magazeti kutapakaa damu. Cha ajabu mzigo huo wa magazeti umesafirishwa hivi hivi na damu za maiti mpaka Arusha kisha kusambazwa mitaani kwa ajili ya kuuzwa.
Jamani hii mbona ni hatari kuuza Gazeti zikiwa na damu za watu? Naomba kuwasilisha huku nikitanguliza pole na maombi yangi kwa Mungu kwa ndugu wa marehemu wote waliokuwa kwenye ajari hiyo.