MWANANCHI LAUZWA NA DAMU ZA WATU i

ngurdoto

Member
Aug 19, 2010
58
23
Ndugu wanajamvi; Leo nimepata taarifa za gari la kusambaza magazeti kwenda Kanda ya Kaskazini mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuwa limepata ajari wilayani Same likielekea Arusha. Nyuma ya gari hilo kulikuwa na abiria ambao kwa taarifa nilizipata wamefariki watu wawili na dereva wa gari hilo.

Kutokana na aina ya ajari abiria walikuwa nyuma walivuja damu nyingi na kusababisha mzigo zote wa magazeti kutapakaa damu. Cha ajabu mzigo huo wa magazeti umesafirishwa hivi hivi na damu za maiti mpaka Arusha kisha kusambazwa mitaani kwa ajili ya kuuzwa.

Jamani hii mbona ni hatari kuuza Gazeti zikiwa na damu za watu? Naomba kuwasilisha huku nikitanguliza pole na maombi yangi kwa Mungu kwa ndugu wa marehemu wote waliokuwa kwenye ajari hiyo.
 
Ndugu wanajamvi; Leo nimepata taarifa za gari la kusambaza magazeti kwenda Kanda ya Kaskazini mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuwa limepata ajari wilayani Same likielekea Arusha. Nyuma ya gari hilo kulikuwa na abiria ambao kwa taarifa nilizipata wamefariki watu wawili na dereva wa gari hilo.

Kutokana na aina ya ajari abiria walikuwa nyuma walivuja damu nyingi na kusababisha mzigo zote wa magazeti kutapakaa damu. Cha ajabu mzigo huo wa magazeti umesafirishwa hivi hivi na damu za maiti mpaka Arusha kisha kusambazwa mitaani kwa ajili ya kuuzwa.

Jamani hii mbona ni hatari kuuza Gazeti zikiwa na damu za watu? Naomba kuwasilisha huku nikitanguliza pole na maombi yangi kwa Mungu kwa ndugu wa marehemu wote waliokuwa kwenye ajari hiyo.

we umenunua na kushuhudia??
 
Nawapa pole wote waliofikwa na misiba !
Mungu atawasaidia na kuwafariji.
 
Kweli bana! Aisee ila jamaa wanakuwaga speed sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani haya magari ya magazeti mwendo yanayotembea sio kabisa...halafu imekuwa ni kawaida kwao kujaza abiria RIP waliokufa na Majeruhi poleni. Wewe ulonunua gazeti "chafu" shauri yako kwani huna macho?
 
Kama Mbeya vile, unapigwa nondo ya kichwa ili damu ivujie kwenye nondo wakaitumie kutundikia nyama buchani. Kwa siku unauza nyama za ng'ombe kumi+.

Hiyo ni biashara na miiko yake.
 
je kuna anayeweza thibitisha hili?nani kanunua gazeti na kukuta limelowa damu?
 
Hiii ni ajali kama ajali nyingine. Kuuza magazeti hayo ni sawa kabisa ila kunachumvi hapa kwamba eti yameuzwa yakiwa na damu huu ni uongo. Tupigie gazeti lenye damu likiwa pamoja na magazeti mengine kama ni kweli. Haya magari tunaomba wenyewe abiria kutokana na haraka zetu. Mimi nilishawahi panda gari la posta mnapangwa kule nyuma kama magunia. Ila kutokana na mazingira niliyokuwa nayo ilinibidi nipande tu.
 
Haina maana yoyote,usiingize imani za ajabu humu.wewe kama unaogopa damu na unadamu utakua *****,acheni ulimbukeni kwahiyo ajali zote ni ushirikina.peleka upuuzi wako mbali ya jf.
 
N.B: PICHA HII HAIHUSIANI NA HABARI HII

Nataka kuuliza wana JF:

... hivi haya magari kwa nini huwa wanayakimbiza hivyo?!

Je? huwa yana ruhusa ya kuvunja amri za Barabani? ... kama high Speed na kadhalika? ...

Je? ... huwa wanasimamishwa na Trafiki kuhusiana na Over-speeding?

Vipi kuhusu Takwimu za ajali? ... je huwa yanapata ajali mara kwa mara au vipi? ... maana ukikutana nalo njiani ni hatari!!

Mwenye uzoefu na hili naomba watujuze zaidi

adakiss23 . Mkirua . Mpitagwa .
1.jpg


N.B: PICHA HII HAIHUSIANI NA HABARI HII​
 
mimi naona ni sahihhi, msiba umetoke na riziki lazima itafutwe sasa. Ndio maana ni gazeti bora kuliko mengine, wafanye nini na wa shakula hela za matangozo na kumuhaikishia mteja wamba wanafika huko. Kama ni kweli BIG UP MWANANCH
 
N.B: PICHA HII HAIHUSIANI NA HABARI HII

Nataka kuuliza wana JF:

... hivi haya magari kwa nini huwa wanayakimbiza hivyo?!

Je? huwa yana ruhusa ya kuvunja amri za Barabani? ... kama high Speed na kadhalika? ...

Je? ... huwa wanasimamishwa na Trafiki kuhusiana na Over-speeding?

Vipi kuhusu Takwimu za ajali? ... je huwa yanapata ajali mara kwa mara au vipi? ... maana ukikutana nalo njiani ni hatari!!

Mwenye uzoefu na hili naomba watujuze zaidi

adakiss23 . Mkirua . Mpitagwa .
1.jpg


N.B: PICHA HII HAIHUSIANI NA HABARI HII​
Mkuu Dotworld, Ni kwanini wanakimbia ni vigumu kujua. Nadhani kwakuwa huchelewa sana kuondoka ...kutegemea gazeti limetoka saa ngapi may be saa tano usiku au baada ya hapo then wafanye packing wapambane na foleni ya kimara sasa kuliwahisha Arusha asubuhi na mapema nadhani ndipo changamoto zinapoanzia hapo..

Kwamba yana ruhusa kuvunja sheria ni waji jibu ni hapana kwani hakuna aliye juu ya sheria.
Kuhusu kusimamishwa na traffick ni vigumu kwani huwa yanasafiri usiku....

Takwimu za ajali sina ila nadhani zingekuwa kubwa tungezisikia ila nadhani hiki kisiwe kigezo kwani ukweli utabaki kuwa Mwendokasi ni Hatari na unaua hata kama unafanya hivyo miaka yote na hujafanikiwa kufa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom