MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,604
Ok nikija dsm ntakaribia hapo kilingeni hahaa yes hiphop inauza nshakuja hapo nikakutana na songa pamoja na nikki mbishi tatizo wacongo wengi sana hapo kilingeni.
mkuu jumamosi wakongo mchana hawapo ila huyu anayeitwa nikki mbishi huyu jamaa ni hatari yaani kashindikana kuanzia mistari huru mpaka punchlines kazidiwa na fid q peke yake wengine wote hawamuwezi kwa lolote